Je, namba kubwa kuliko zote duniani ni ipi?

Kwa kuongezea tu infinity zimetofautiana ukubwa. Yaan kuna infinity ambazo ni ndogo ukilinganisha na nyingine. Mfano wa infinity ndogo ni swali alilowahi kuuliza mwanafalsafa mmoja anaejulikana kama Zeno, aliuliza hivi mfano mtu anataka kutoka ubungo mpaka mwenge lakini akaamua kwenye kwenda atakua akienda nusu tu ya umbali uliobakia....aisee ukitazama kwa undani utagundua huyu mwamba hatafika kamwe mwenge kwa sababu kila umbali utakaobaki unawezekana kugawanywa kwa mbili. Hili swali ni majudi juzi tu limeweza kuwekwa sawa.

Hata hivyo maswala ya infinity are beyond our imagination kama kutaka kufikiri universe bila muda.
kama kila mwaka atatembea nusu ya umbali uliobaki, kweli hata
fika.
 
Unamaanisha nini kusema infinity is not a number ?
Kwa sababu infinity ni concept kuhusu number, na sio number in itself, kwahiyo infinity can be a whole wide range of numbers, mfano, (infinity+1), (infinity+2), (infinity+3) zote zinamaanisha kitu hicho hicho, hazina tofauti. Ila number kama 6 ni number kwa sababu (6+1), (6+2), (6+3) zina value tofauti i.e 7, 8,9.
 
Number inatumika ku-quantify something... so limit ya namba ipo kwenye kitu unachotaka kuki-quantify.... hivyo hakuna maana ya kujua the limit of the number bali kuna maana ya kujua the limit of something. Tunasema space ni infinite kwasababu hatuwezi kumeasure kwa maana hatujui mwanzo na mwisho wake ni upi.
Sawa, sasa jibu swali.
 
Back
Top Bottom