GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Nasikia kwa sasa Mr. Dar es Salaam hataki kabisa kutumia Mitandao ya Kijamii ( japo kuna muda) huwa anaibuka na pia anasoma mara Ujerumani mara Afrika Kusini na hata akiwa Tanzania amekuwa ni Msiri na Mtu wa Kujificha na kuhamahama kama Digidigi na hata wale Malaya wake wa Beach Kidimbwi akina Suzy na Asha bila Kumsahau na Yule Mwanaidi wa Juliana wamemmisi sana.
Kuna muda huwa nashindwa Kabisa kuielewa 'System' ya Tanzania na hapa ndipo GENTAMYCINE nahisi kuna Double Standards hivi Mru kama huyu Mr. Dar es Salaam ambaye anajulikana Kufanya 'Maasi' makubwa Mkoani Dar es Salaam na Tanzania nzima huku akimrithisha Mfungwa Mpya Ole Sabaya anawezaje Kuachwa tu atoke (asafiri) nje ya nchi?
Haya sasa baada ya Ole Sabaya kuyaanza rasmi Maisha yake ya miaka 30 Gerezani tunawaomba wale Wote mlioumizwa, kuteswa, kudhulumiwa na hata Kutapeliwa na Mr. Dar es Salaam Mitege enzi zake (ukiwemo hasa Yusuf Manji uliyerejea tena kwa Dada yako nchini Canada) tafadhali fungueni Kesi dhidi yake ili nae akachezee miaka yake 670 Gerezani kwani kwa Makosa yake Yeye ni Nyangumi na huyu Ole Sabaya ni Papa tu.
Kuna muda huwa nashindwa Kabisa kuielewa 'System' ya Tanzania na hapa ndipo GENTAMYCINE nahisi kuna Double Standards hivi Mru kama huyu Mr. Dar es Salaam ambaye anajulikana Kufanya 'Maasi' makubwa Mkoani Dar es Salaam na Tanzania nzima huku akimrithisha Mfungwa Mpya Ole Sabaya anawezaje Kuachwa tu atoke (asafiri) nje ya nchi?
Haya sasa baada ya Ole Sabaya kuyaanza rasmi Maisha yake ya miaka 30 Gerezani tunawaomba wale Wote mlioumizwa, kuteswa, kudhulumiwa na hata Kutapeliwa na Mr. Dar es Salaam Mitege enzi zake (ukiwemo hasa Yusuf Manji uliyerejea tena kwa Dada yako nchini Canada) tafadhali fungueni Kesi dhidi yake ili nae akachezee miaka yake 670 Gerezani kwani kwa Makosa yake Yeye ni Nyangumi na huyu Ole Sabaya ni Papa tu.