Je, mzazi anawezaje kujua kama binti yake wameshaanza kumtumia?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,744
Dah, inasikitisha pale una kabinti ka sekondari kanakuamkia shikamoo kwa adabu zote alafu kesho unasikia kanatembea na mwalimu ambaye ni umri tu sawa na wewe mzazi.

Sasa ningependa kujua wale wenye uzoefu, je unawezaje kujua kuwa binti yako vijana wemeshaanza kumtumia ili uweze kuchukua hatua stahiki za kuzuia uharibifu huo usiendelee?
 
dawa ni moja ,upendo kwa watoto wako ukiwa ni real they will never let u down,kama baba watoto wawe kama marafiki zako ongea nao ,waelimishe ili wajielewe sio kupata uelewa huu kwa marafiki zao au jirani zao,waelewe miili yao na mabadiliko yanayotokea ndani ya miili yao,mtoto au mama au baba lazima lugha hii ya I love you iwe ni ya kweli,eye contact ili kupata ukweli,elewa vitisho,ghasira,vipigo vitakuharibia familia yako,good luck
 
Atabadilika kuanzia mwendo kuongea na dharau za kutosha..
Ukiona hivyo ujue wahuni wanafanya yao
 
Hebu weka Picha ya huyo bint yako then nianze kukupa elimu

from Katesh using Siemens C55
 
dawa ni moja ,upendo kwa watoto wako ukiwa ni real they will never let u down,kama baba watoto wawe kama marafiki zako ongea nao ,waelimishe ili wajielewe sio kupata uelewa huu kwa marafiki zao au jirani zao,waelewe miili yao na mabadiliko yanayotokea ndani ya miili yao,mtoto au mama au baba lazima lugha hii ya I love you iwe ni ya kweli,eye contact ili kupata ukweli,elewa vitisho,ghasira,vipigo vitakuharibia familia yako,good luck
nilikua ivyo ivyo kwa mdogo wangu.ila yaliyotokea !!mungu amlaze mahala pema peponi.ila unaishia kuvuna lawama tu.haya mambo yanataka hofu binafsi na uelewa binafsi.ila jua tu mtoto wa kike ni changamoto sana na tena saana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dawa ni moja ,upendo kwa watoto wako ukiwa ni real they will never let u down,kama baba watoto wawe kama marafiki zako ongea nao ,waelimishe ili wajielewe sio kupata uelewa huu kwa marafiki zao au jirani zao,waelewe miili yao na mabadiliko yanayotokea ndani ya miili yao,mtoto au mama au baba lazima lugha hii ya I love you iwe ni ya kweli,eye contact ili kupata ukweli,elewa vitisho,ghasira,vipigo vitakuharibia familia yako,good luck
haisaidii ni kuomba Mungu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom