kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,929
Habarini za muda huu!
Naomba kujua, nina passport ya zamani niliipata mwaka 2014, mwisho wa muda wake ni mwaka 2024
Baada ya kuanza zoezi la passport za kielektroniki sikupata muda wa kufatilia zoezi hilo.
Naomba kujua, je, mwisho wa kubadili passport za zamani na kupata za kielektroniki ni lini, na je ni hatua au documents gani natakiwa kuwa nazo?
Msaada wenu wakuu
Karibuni
Sent using komputa mpakato
Naomba kujua, nina passport ya zamani niliipata mwaka 2014, mwisho wa muda wake ni mwaka 2024
Baada ya kuanza zoezi la passport za kielektroniki sikupata muda wa kufatilia zoezi hilo.
Naomba kujua, je, mwisho wa kubadili passport za zamani na kupata za kielektroniki ni lini, na je ni hatua au documents gani natakiwa kuwa nazo?
Msaada wenu wakuu
Karibuni
Sent using komputa mpakato