Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Huyu mzee vipi jamani! Eti anawataka wananchi wasing'ang'anie kujadili madaraka ya Rais sasa uhuru wa maoni huko wapi? Wananchi wanataka kusawazisha eneo muhimu la taasisi ya Urais yeye anazuia kwa nini?! Hivi hadidu rejea ndio zinamtaka aongee hivi?
Source: Mtanzania 4 July 2012
Source: Mtanzania 4 July 2012