Hana haki ya kumdaiAlishatemana nae na sasahivi anataka kuolewa na mwanaume mwengine. Na hiyo pesa hajakopeshwa, ila mkewe alitoa/alimpa kwa mapenzi yake mwenyewe. Hayo mambo ya kudaiana yamekuja baada ya kuachana
BI HAWA MOHAMED vs. ALLY SEIFSijasoma maelezo yako, maana ni marefu balaa na yanatia uvivu kuyasoma. Halafu nimelewa gongo mixa na ganja kwa mbaaaaali. Ila acha nijibu kutokana na kichwa chako cha swali...
Poleni sana hasa kwa mwanaume mwenzetu. Mke ana kesi ya kujibu, magawanyo ni pasu kwa pasu, haina ubishi, afuate wataalam wa sheria mahiri kuhusiana na kesi kama hizo tu.Sijasoma maelezo yako, maana ni marefu balaa na yanatia uvivu kuyasoma. Halafu nimelewa gongo mixa na ganja kwa mbaaaaali. Ila acha nijibu kutokana na kichwa chako cha swali....
Hapo hamna kesi. Mali mkitafuta kipindi cha maelewano mkiachana hamna kudaiana tena kama mi ningekuwa jamaa vya kuuza ningeuza kabisa nikatia hela mfukoni.Alishatemana nae na sasahivi anataka kuolewa na mwanaume mwengine. Na hiyo pesa hajakopeshwa, ila mkewe alitoa/alimpa kwa mapenzi yake mwenyewe. Hayo mambo ya kudaiana yamekuja baada ya kuachana
Dah, mpe pole sana jamaa ila ndio ajifunze next time mwanamke anaeoa asije akawa ndio anapigiwa jicho na familia yao. Maana shida ya familia zetu maskini hasa baba mkwe maskini ndio hupelekea haya majanga.Wakubwa zangu shikamooni! Vijana wenzangu mambo vipi! Wadogo zangu hamjambo?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi member mwezenu naomba msaada wa kuelimishwa juu ya haki na stahiki anazopaswa kupewa mwanaume baada ya kuachana na mke wake...
Kweli hakuna kudaiana ila kuna kugawana.Hapo hamna kesi. Mali mkitafuta kipindi cha maelewano mkiachana hamna kudaiana tena kama mi ningekuwa jamaa vya kuuza ningeuza kabisa nikatia hela mfukoni.
Hakuna ambapo tuliandikishana kuwa mali flani ntazichukua tukiwa apart. Isitoshe mkikaa under one roof baada ya mwaka tu nyie ni mke na mume impliedly. Sio lazma cheti cha ndoa treatment ya sheria ni kuwa kila mmoja atakuwa amechangia kwa hali au mali.
Jamaa yako ni Ndezi 😁mkuu Extrovert wewe noma! Jamaa ni muoga sana halafu hapendi malumbano ila ndio maana hata talaka kalazimishwa kutoa maana pamoja na kumfumania mwenyewe alikuwa yupo tayari kumsamehe kwasababu anampenda na wamezaa mtoto mmoja.
Umeongea point kubwa sana mkuu!
Hata yeye anajuta na kukiri kuwa mkewe ndio alikuwa jicho la familia, yaani anategemewa kwa kilakitu hata wazazi wakawa hawana kauli kwake afanye zuri au baya lazima wam-support bint yao.
Halafu chengine wazazi wa huyo bint waliona kama bint yao anachumwa na mumewe kwasababu ya kipato chake, wakasahau kuwa ile ni ndoa halali hivyo mke kama anacho kipato ni wajibu kumpa au kumsaidia mumewe.
Eeh wanasema Experience is the best teacher!ila itakuwa amebadilika maana mpaka anataka ushauri wa kwenda mahakamani kudai haki ujue ameshaamka usingizini
Google!Ndio akina nani hawa? Wamefanyaje?