Mwanaume habakwi mkuu rudi kweny penal code kasome section 130'ili upate maana ya kubakaaisee, na je mke akimbaka mme, baada ya legal separation , inakuaje hapo? haitambuliki pia?
Mwanaume habakwi mkuu rudi kweny penal code kasome section 130'ili upate maana ya kubakaaisee, na je mke akimbaka mme, baada ya legal separation , inakuaje hapo? haitambuliki pia?
We toa hiyo sheria. Maana sheria ninayoijua mimi haitambui ubakaji kwa mume na mke walio katika ndoa kihalaliSiyo matango pori soma sheria vzr shida women are very quite hawataki kusema wala kushitaki make wanawaonea huruma lkn so matango pori
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anaolewa ili afanywe sasa kama hataki au hajisikii kufanywa anafanya nini kwangu.Kama ni mke wangu atakua na excuse siku akiwa period tu hizo sababu nyingine hazina mashiko kwasababu je namimi mwanaume nisipojisikia kufanya naye mwaka mzima kutakua na ndoa hapo.Kumbuka mwanaume asipokua na uwezo wakumwingilia mkewe mke anaweza kuomba talaka.Kwa tafsiri hiyo hakuna kubakana mke na mume vinginevyo kuwe na mgogoro ambao kimsingi lazima wawe mbali mbali sio ndani ya nyumba yenye paa moja.Mambo mengine ya wazungu tuwaachie wenyewe.Ulichoandika ni kweli kabisa.
Wabunge wetu[vyama vyote], hivi sasa tunapigana na gender violence na moja ya udhalilishaji mkubwa kwa wake zetu ni hili la kulazimisha tendo la ndoa hata kama mke hataki. Ukweli uliodhahiri ni kwamba hili kosa moja kubwa ambalo linaonekana kama la kawaida.
Hadi sasa ,Ghana,India,Indonesia,Jordan,Lesotho,Nigeria,Oman,Singapore, Sri lanka na Tanzania ndiyo nchi pekee zilizohalalisha kitendo hiki.
Wabunge kina mama, huu ndiyo wakati wenu wa kulisimamia hili [bila kujali itikadi] hadi hii sheria ya kishenzi iondolewe.
Eh, mwanamke aweza kukataa kumpa haki ya tendo la ndoa mumewe b8la sababu muhimu??? . Vinginevyo mpaka inafikia kubaka , hapo inaonekana kuna ukatili unaendelea kati yao..Kwanini uolewe wakati hutaki kufanya tendo la ndoa?
Kukubali kuolewa ni sawa ni kuhalalisha tendo la ndoa, haya mambo ya kuiga iga mambo ya western countries kuna muda inabidi tuwe makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anapo olewa inamaana ameridhia(consent) kufanya tendo la ndoa mda wowote labda Kama ni mgonjwa anaweza kukataa ila la sivyo hawezi kukataa na akikataa basi ni refusal consummation na ina weza kuwa sababisha separation mpaka divorce.Eh, mwanamke aweza kukataa kumpa haki ya tendo la ndoa mumewe b8la sababu muhimu??? . Vinginevyo mpaka inafikia kubaka , hapo inaonekana kuna ukatili unaendelea kati yao..
Sent using Jamii Forums mobile app
ukikubali kuolewa sharti ulale bila nguo...Siku moja katika mazungumzo na rafiki yangu ambaye ni mbumbumbu wa sheria kama mimi , alinidokozea kwamba katika sheria ya makosa ya kujamiiana Tz ni makosa kwa mume kumbaka mke wake. Kwa wale wenye uelewa wa sheria naomba wanisaidie ufafanuzi wa yafuatayo ili nisije nikajikuta naenda jela bia kufahamu:-
1. Ni kweli kuna hiyo sheria inayomkataza mume kumbaka mke wake?
2. Ni kweli mume anaweza kumbaka mke wake?
3. Ni matendo au viashiria vipi vinavyookuwepo kuonyesha mume kambaka mke wake?
4. Je kuna uwezekano wa mke kumbaka mume wake?
5. Kama huo uwezekano upo, sheria inasemaje? Na ni zipi haki za mume aliyebakwa?
Nawasilisha.
Hivi consent hapa ni ya mwanamke tu? Je mke hawezi mbaka mumewe? It should be both parties i thinkMwM,
Mjadala hapa nispecific kuhusu suala la 'je mume anaweza kumbaka mkewe?" Je kuna haja ya kuibadili sheria zaidi na kuruhusu mke kuwa anatoa 'consent' kila anapoombwa unyumba?
Zingatia ya kwamba kwa tafsiri ya haraka haraka sheria ya Tanzania inasema mke ukubali kwa jumla kuhusiana na tendo la ndoa (consent) siku ya kufunga ndoa na itabadilika pale tu atakapokuwa ametengana na mumewe au kuachana (soma sheria ya makosa ya kujaamiiana -SOSPA 1998).
Shadow.
Ndugu mbona mbishi sana na uislamu wako uchwalaPasco! Icho unachokizungumza hakipo kwenye Uislam. Jaribu kuwa makini unapozungumza mambo ya kisheria. Usipoteze umma tafadhali.
Kama jambo hulifahamu bora kuuliza kwanza kuliko kuendelea kubisha usicho kifahamu na kukijuwa vema.
Kama kweli wewe mjuzi wa SHARIA za KIISLAM tufahamishe maana ya mwanamke kuachwa "Taraka tatu, pamoja na hizo taraka rejea zako."
Ndugu yetu hapa amekujibu vizuri sana, ila kwa sababu umejiandaa kiubishi ubishi, bado utaendelea kubisha tu, hata kama jambo si kweli.
KUNA MAMBO MENGINE YA KUTUNGA MWANADAM YANAPASUA KICHWA. MKE ULIPOMUOA MKAFUNGA NDOA ALISHAJUA ANACHOFUATA KWA MUME, NA MUME AMESHAHALALISHIWA TOKA SIKU HIYO ON WARDS... SASA KUBAKA KUNAKUJAJE???Ni kweli kuna hiyo sheria inayomkataza mume kumbaka mke wake?
Tusikie basi comments za hao wanawake, waseme ukweli nini wanakijua hapa, Demi , @Hivi consent hapa ni ya mwanamke tu? Je mke hawezi mbaka mumewe? It should be both parties i think
Stay home, stay safe
Corona kills