Je, mwanasiasa anayepewa kinga na ya kutoshtakiwa na Katiba ya nchi yake anaweza kushtakiwa kwenye nchi nyingine akistaafu?

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Wanaojua sheria za kimataifa hivi mfano Mimi ni rais halafu kwa sheria zetu ninakinga ya kutoshtakiwa kwa Mambo niliyoyafanya nikiwa madarakani.

Je, siku nikiondoka madarakani halafu nikaenda India kutibiwa kwa mfano?

Je, wanaonitafuta wanaweza kunifungulia mashtaka nikiwa kwenye ardhi ya India? Au Kinga ya katiba ya nchi yangu Haina mipaka inatumika popote?
 
Mkuu, Japo unahasira Sana, nitaomba nicheke tu Kwa jinsi ulivyowasilisha hili wazo

Ila unapointi. 😂😂😂😂😂😂

Kwamba, ikiwezekana akisafiri kwenda mahali awekewe zuwio kama waliokuwa wakikamata ndege siyo?

Tanzania Raha Sana,
 
Hizi ni akili za mtu aliyekosa mtu wa kumlalamikia baada ya kulalamikia wazazi, ndugu na jamaa walio nje ya nchi au wenye nafasi Serikalini bila mafanikio, baadae lawama akazielekeza Serikalini, mwisho anaamua kumlalamikia kiongozi mwenye kinga kuliko wote.

In short ni akili za mtu mlalamishi. Fanyeni kazi kukaa mnasumbuka kushindana na serikali mitandaoni mtaugua uchizi fresh. Serikali ndo hii na bado ipo ipo sana.
 
Hizi ni akili za mtu aliyekosa mtu wa kumlalamikia baada ya kulalamikia wazazi, ndugu na jamaa walio nje ya nchi au wenye nafasi Serikalini bila mafanikio, baadae lawama akazielekeza Serikalini, mwisho anaamua kumlalamikia kiongozi mwenye kinga kuliko wote. In short ni akili za mtu mlalamishi. Fanyeni kazi kukaa mnasumbuka kushindana na serikali mitandaoni mtaugua uchizi fresh. Serikali ndo hii na bado ipo ipo sana.
Tutolee upotolo wako hapa dunia nzima ina nchi 180+ kwanini unanisemea wakati sijataja mtu yeyote hapa wewe unaugonjwa wa umbea ufitini majungu na uchonganishi.
 
Back
Top Bottom