Je, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni bush lawyer? amejisahau? anapotosha? au anahitaji elimu?

Kwa sasa mahakama haina power yoyote ya ku nullify sheria iliyotungwa na bunge kwani tayari bunge lilikwisha lilishaweka "ouster clause" na hivyo itakuwa bado ni sheria halali mpaka pale bunge litakapo ona yafaa kubadilisha baada ya kupata maoni kutoka mahakamani. Hivyo kama mahakama ilivyo na wivu na nguvu zake hai kadhalika bunge lina wivu mkubwa sana seria zake kudhihakiwa mahakamani kwa tusi liitwalo null and void
Sheria ipi ya bunge inasema DED shall be NEC returning officers? Please help.
Kumbuka hii ni kesi ya kikatiba.
 
Hukumu ya mahakama haitekelezeki mpaka bunge libadili sheria inayo wapa nguvu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.... hivyo basi mwanasheria mkuu wa serikali yuko right kabisa...
This is a totally different case! Mahakama haijatoa muda kwa bunge kubadilisha vifungu, isipokuwa IMEVIBATILISHA!

Sheria ikishabatilishwa inakuwa mfu!

Wewe unachokisema ni kile kilichofanyika kwenye case ya umri wa kuolewa kwa mtoto ambapo mahakama ilitoa muda kwa bunge kurekebisha sheria! Haikubatilisha vifungu!

NB: Mara nyingi huwa sipendelei sana kujadili issues na wanasiasa! Do the needful and QUIT!
 
This is a totally different case! Mahakama haijatoa muda kwa bunge kubadilisha vifungu, isipokuwa IMEVIBATILISHA!

Sheria ikishabatilishwa inakuwa mfu!

Wewe unachokisema ni kile kilichofanyika kwenye case ya umri wa kuolewa kwa mtoto ambapo mahakama ilitoa muda kwa bunge kurekebisha sheria! Haikubatilisha vifungu!

NB: Mara nyingi huwa sipendelei sana kujadili issues na wanasiasa! Do the needful and quit!
Upo vizuri wakili msomi.
 
Hoo
Huyu mtu walimtoa wapi!? He looks so incompetent, you can say that again!

Wanasheria wananielewa vizuri nikizungumza kuhusu "stay of execution" ama kwa lugha rahisi ni kusimama kwa hukumu ya mahakama ya chini mpaka pale mahakama ya juu itakapotoa uamuzi wa rufaa!

Lakini si kila rufaa zote zinasimamisha hukumu ya mahakama! Hukumu ya mahakama haiwezi kusimama endapo pana UVUNJIFU ENDELEVU WA KATIBA AU SWALA LILILOTOLEWA UAMUZI. (Hilo limeshazungumzwa kwenye sheria ya bradea na authorities nyingi za kimahakama)

Nimemuona jana anazungumza vitu vya hovyo hovyo nikajiuliza huenda ni kwasababu hata yeye mwenyewe yuko kwenye hicho kiti kimagumashi bila qualifications????

Kama amezungumza hayo with 'genuine ignorance' basi kuna haja ya nchi kufanya vetting stahiki kuepuka kubeba makapi! Lakini kama anapotosha kwa makusudi ajue kuwa anafanya UHAINI wa kupindisha amri ya mahakama (which is a CRIMINAL OFFENCE)! Let him be advised to be smart.....ataaibika!!

Zuio la mahakama kuu liko pale pale mpaka rufaa itakaposema vinginevyo!
[/QUOT

Hii taarifa imeshatolewa na Fatuma karume.au wewe ndiyo Fatuma mwenyewe
 
This is a totally different case! Mahakama haijatoa muda kwa bunge kubadilisha vifungu, isipokuwa IMEVIBATILISHA!

Sheria ikishabatilishwa inakuwa mfu!

Wewe unachokisema ni kile kilichofanyika kwenye case ya umri wa kuolewa kwa mtoto ambapo mahakama ilitoa muda kwa bunge kurekebisha sheria! Haikubatilisha vifungu!

NB: Mara nyingi huwa sipendelei sana kujadili issues na wanasiasa! Do the needful and QUIT!
Yapo kushangilia ujinga bila kujua lolote
 
Hukumu ya mahakama haitekelezeki mpaka bunge libadili sheria inayo wapa nguvu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.... hivyo basi mwanasheria mkuu wa serikali yuko right kabisa...
Jibu lako lipo kwny section 13(2) of Basic Rights and Duties Enforcement Act. Swala la sheria inayoenda kinyume cha Katiba kuendelea kutumika mpaka pale itakapobadilishwa na Bunge, ni utashi wa mahakama kusema hivyo. Kama mahakama imevifuta bila kutoa muda, hakuna kinachosubiri Bunge ndo vinakuwa vimekufa kibudu kama kwenye kesi hii. Kifungu kinasomeka hivi:

"Where an application alleges that any law made or action taken by the Government or other authority abolishes or abridges the basic rights, freedoms or duties conferred or imposed by sections 12 to 29 of the Constitution and the High Court is satisfied that the law or action concerned to the extent of the contravention is invalid or unconstitutional, then the High Court shall, instead of declaring the
law or action to be invalid or unconstitutional, have the power and the discretion in an appropriate case to allow Parliament or other
legislative authority, or the Government or other authority concerned, as the case be, to correct any effect in the impugned law or action within a specified period, subject to such conditions as may be specified by it, and the law or action impugned shall until the
correction is made of the expiry of the limit set by the High Court,
whichever be the shorter, be deemed to be valid."

Kwenye kesi hii mahakama haikutoa muda wa marekebisho kwa hiyo hakuna cha kusubiri marekebisho. Hivyo vifungu ni null and void. Nia ya kukata rufaa haiwezi kuvipa uhalali. You can use them at your own peril and you will end up with anullity.
 
Huyu mtu walimtoa wapi!? He looks so incompetent, you can say that again!

Wanasheria wananielewa vizuri nikizungumza kuhusu "stay of execution" ama kwa lugha rahisi ni kusimama kwa hukumu ya mahakama ya chini mpaka pale mahakama ya juu itakapotoa uamuzi wa rufaa!

Lakini si kila rufaa zote zinasimamisha hukumu ya mahakama! Hukumu ya mahakama haiwezi kusimama endapo pana UVUNJIFU ENDELEVU WA KATIBA AU SWALA LILILOTOLEWA UAMUZI. (Hilo limeshazungumzwa kwenye sheria ya bradea na authorities nyingi za kimahakama)

Nimemuona jana anazungumza vitu vya hovyo hovyo nikajiuliza huenda ni kwasababu hata yeye mwenyewe yuko kwenye hicho kiti kimagumashi bila qualifications????

Kama amezungumza hayo with 'genuine ignorance' basi kuna haja ya nchi kufanya vetting stahiki kuepuka kubeba makapi! Lakini kama anapotosha kwa makusudi ajue kuwa anafanya UHAINI wa kupindisha amri ya mahakama (which is a CRIMINAL OFFENCE)! Let him be advised to be smart.....ataaibika!!

Zuio la mahakama kuu liko pale pale mpaka rufaa itakaposema vinginevyo!
Hiyo nafasi aliteuliwa kwa upendeleo,hajakidhi vigezo
 
Vipi kuhusu ile kampuni ya Kenya iliyonunua koroshow?huyu ndio alikuwa mshauri wa kabudi?
 
Si nasikia jamaa hana sifa ya kushika huo wadhifa.

Na pia nasikia kafunguliwa kesi ya kupinga uteuzi wake.

Kama yote ni sawa basi magu anakazi,na mama Tanzania pia anakazi.
 
Yote hapo hayapo, hata kama yani influence, Kilichopo ni maaagizo toka juu, kama hutaki kazi huna!

Wanasheria siku zote watumwa wa wenye nguvu
 
Kwa sasa mahakama haina power yoyote ya ku nullify sheria iliyotungwa na bunge kwani tayari bunge lilikwisha lilishaweka "ouster clause" na hivyo itakuwa bado ni sheria halali mpaka pale bunge litakapo ona yafaa kubadilisha baada ya kupata maoni kutoka mahakamani. Hivyo kama mahakama ilivyo na wivu na nguvu zake hai kadhalika bunge lina wivu mkubwa sana seria zake kudhihakiwa mahakamani kwa tusi liitwalo null and void
Hiyo ouster clause lipo kwenye kifungu gani ndugu? Pitia hii section 13(2) of Basic Rights and Duties Enforcement Act alafu urudi tena na hizi propaganda zako za ouster clause! Inasomeka hivi:

"Where an application alleges that any law made or action taken by the Government or other authority abolishes or abridges the basic rights, freedoms or duties conferred or imposed by sections 12 to 29 of the Constitution and the High Court is satisfied that the law or action concerned to the extent of the contravention is invalid or unconstitutional, then the High Court shall, instead of declaring the
law or action to be invalid or unconstitutional, have the power and the discretion in an appropriate case to allow Parliament or other legislative authority, or the Government or other authority concerned, as the case be, to correct any effect in the impugned law or action within a specified period, subject to such conditions as may be
specified by it, and the law or action impugned shall until the correction is made of the expiry of the limit set by the High Court, whichever be the shorter, be deemed to be valid."
 
Hukumu ya mahakama haitekelezeki mpaka bunge libadili sheria inayo wapa nguvu wakurugenzi kusimamia uchaguzi.... hivyo basi mwanasheria mkuu wa serikali yuko right kabisa...
Tafsiri ya sheria husika imeshatolewa na ni kandamizi, sasa inapata wapi judiction ya kutekelezeka?

Kanuni zinaitaka bunge kufanya marekebisho ndani ya muda (framework)
 
Hii hukumu ndio itathibitisha kile ninachosema mara kwa mara kwamba watawala wa kiafrika huwa hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu.
 
Back
Top Bottom