Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Uvaaji wenyewe ndio huu, alafu ukibakwa utasemaje?
Mabinti kama hawa si wanatuchokoza jamani!! Hivi mtu kama mimi mwenye afya iliyonawili, si mateso tu hata kama nikijifanya sijali???? Kwa kweli itabidi tuanze kuvaa suruali za vitambaa vya maturubai. Vitambaa vya kawaida vitatoboka ndani ya siku chache tu.