Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,215
Mkuu unajua maana ya vitabu vya Injili?Katika biblia kuna maneno ya mungu na yasiyokuwa maneno ya mungu, maneno ya mungu ni yale ambayo yanatoka kinywani kwa yesu na ukilisoma unaweza ukaona kabisa kama hapa yesu anaongea, na maandiko ya namna hii ukiangalia utayakuta kwenye biblia ingawa si mengi, lakini hapo inaonesha wazi kwamba muongeaji si yesu ni mtu mwngine, angekuwa yesu asinge ongea hvyo katika nafsi ya mtu mwingine.