Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,638
- 3,850
Ni kweli unatakiwa kumheshimu mtumishi wa Mungu na kumjali ila akienda kinyume na Neno la Mungu utakaa mkimya?Mungu mwenyewe alijua kuna watumishi wauongo watakuja ndiyo maana akatuambia "msiamini kila Roho bali zichunguzeni kama zinatoka kwa Bwana".Sasa mtumishi leo anaweza yuko sawa na Mungu,kesho akakengeuka,sasa ukitumia alivyokuwa jana ,wakati ameshakengeuka utapotea.Kwa hiyo suala la kuzichunguza Roho za watumishi ni suala endelevu,ndiyo maana kuna wazee wa makanisa na wengine moja ya kazi zao ni kumlinda mtumishi wa Mungu kuhakikisha yuko salama kimwili na kiroho.Sasa utakubaliana na mimi shetani hajalala,je akimshambulia akaleta mafundisho potofu mtapona?Katika makanisa mengi ambayo waumini hawana adabu Ni ya kipentecoste na sababu kubwa Ni hiki ulichoandika hapa.Kuwa watu wanamhitaji Yesu sio mtu.
Unakuta kila muumini anajifanya Yeye na Yesu Yesu na yeye hahitaji mtu.
Anasahau kuwa Mungu kaweka mitume ,manabii na kadhalika ili afanikiwe.Kwa hiyo dharau kwa viongozi iko juu mno na hii Sasa imeenda hadi.makanisa katoliki.nk
Sisi timefundishwa Biblia inasema wazi mwamini Mungu na manabii wake ndipo mtakapofanikiwa.
Kumwamini Mungu tu bila kumwamini nabii hufanikiwii ndio msimamo wetu .Ndio.maana tunamheshimu kupindukia Mwamposya tunajua tukimwamini Mungu tu hakuna Kitu
Mimi nawaamini wote kwa mpigo Yesu na nabii wake sio Yesu peke yake hapana.Namwamini yeye na Nabii wake
Ndio.maana uwepo wake kwangu muhimu mno
Kama ni hivi basi Mwamposya ni mlafi.Ndio ni mwanawe MTUME MABOYA kwa kiroho .Alikuwa muumini wake tu wa kawaida pale Arusha kanisani kwake akamfundisha ,kumlea hadi akaenda fungua kanisa la Calvary Assemblies Of God pale Moshi ambako vifo vimetokea, baadaye akafungua huduma ingine Dar es salaam ambayo iko pale Kawe nayo iko Chini ya CAG la Maboya. Na ASKOFU NA MTUME MABOYA ndie ASKOFU WAKE MKUU
Mtume Mwamposya huwa anahudumia makanisa mawili kwa Mpigo huwa yuko Dar es salaam na Moshi .Huweza kuhudumu kote kwa kutumia ndege za abiria.Akimaliza huku anapanda ndege anaenda kwingine kuhudumia.
Hizi ndege mara ingine zinamchelewesha huduma yake.Tunamwomba Mungu AMPE ndege yake binafsi ambayo atakuwa nauwezo wa kuondoka muda wowote atakao na kwenda kuhudumu popote sababu anahitajika mikoa yote Tanzania lakini sababu hana ndege yake binafsi mfano ya kuendesha ibada ya asubuhi labda Mwanza na ibada ingine Dar kwa siku inakuwa vigumu
Tuko kwenye maombi Mungu ampe ndege ya aina ya Gulfstream ina mbio za kutosha kwa private jets.Tushirikiane kumwombea apate
BULLDOZER MWAMPOSYA HUYOOOO
View attachment 1350819
AmenAnhaa nilifikiri labda maombi yake yalipandikiza kitu kibaya. Mungu anaona nia yako ya ndani kabisa, mfungulie mlango Yesu, Biblia inasema Ufunuo wa Yohana 3:20-22 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
20 Tazama, nasimama mlangoni napiga hodi. Mtu ye yote akisikia sauti yangu na kufun gua mlango, nitaingia ndani na kula pamoja naye, naye pamoja nami. 21 Atakayeshinda nitampa haki ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha enzi.
So ni wewe kufungua moyo wako tu
Yesu anakusubiri uamue.Good lucky and God bless .
na
Hakika kama upo dar es salaam nakukaribisha kanisani kwetu korogwe kkktAcha tu boss napata tabu sana, nahitaji msaada sana wa kiroho kwa hakika
Ohooo! Nimeshahudhuria ibada mahali hapo mara kadhaa, kwa sasa niko abroad kidogoHakika kama upo dar es salaam nakukaribisha kanisani kwetu korogwe kkkt
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo inbox nikushauri,kuna kitu watu hawajui unapowekewa mikono na mtumishi yeyote ukiacha uponyaji au chochote utakachopata utaunganishwa na madhabahu yake au Mungu /mungu wake anayemwabudu.Sasa ikiwa mungu anayemwabudu si wa Kweli hapo ndipo shida itaanza.Hapana, ni miaka mingi imepita ila mimi si yule niliyekuwa kabisa mambo yangu mema hayako tena toka alivyoniombea I'm not a good person kabisa natamani kutoka niliko nashindwa
ale tu sababu kazi anafanya na inaonekana kwetu tunaohudumiwa ruksa ale atakavyo.BIBLIA IMERUHUSU ANAYEFANYA KAZI KULA RUKSAKama ni hivi basi Mwamposya ni mlafi.
Aaahh owk ukirudi usisite kuja mzeeOhooo! Nimeshahudhuria ibada mahali hapo mara kadhaa, kwa sasa niko abroad kidogo
unasaka waumini humu ha ha ha haNjoo inbox nikushauri,kuna kitu watu hawajui unapowekewa mikono na mtumishi yeyote ukiacha uponyaji au chochote utakachopata utaunganishwa na madhabahu yake au Mungu /mungu wake anayemwabudu.Sasa ikiwa mungu anayemwabudu si wa Kweli hapo ndipo shida itaanza.
NB:Usipende kuwekewa mikono na watu ambao imani yao hauijui vizuri,unaweza ondoka na miroho mingine.
Hapana kwanini iwe inbox hapa hapa na sisi tusikie isije ukawa unataka kumpeleka akakanyage mafutaNjoo inbox nikushauri,kuna kitu watu hawajui unapowekewa mikono na mtumishi yeyote ukiacha uponyaji au chochote utakachopata utaunganishwa na madhabahu yake au Mungu /mungu wake anayemwabudu.Sasa ikiwa mungu anayemwabudu si wa Kweli hapo ndipo shida itaanza.
NB:Usipende kuwekewa mikono na watu ambao imani yao hauijui vizuri,unaweza ondoka na miroho mingine.
kumbe wew mu KKKT ambao mwanzo hadi mwisho wa ibada hamna cha deliverance wala nini.MTU ANAINGIA NA PEPO LAKE NA ANATOKA NALOHakika kama upo dar es salaam nakukaribisha kanisani kwetu korogwe kkkt
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafuta waumini hajui pa kuwapata!!! Karama hana kipawa hana ni kajaa tu mineno ya kushawishi ya kilaghai.Hapana kwanini iwe inbox hapa hapa na sisi tusikie isije ukawa unataka kumpeleka akakanyage mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Angamia na uza roho yako kwa kukosa maharifa.Ndio ni mwanawe MTUME MABOYA kwa kiroho .Alikuwa muumini wake tu wa kawaida pale Arusha kanisani kwake akamfundisha ,kumlea hadi akaenda fungua kanisa la Calvary Assemblies Of God pale Moshi ambako vifo vimetokea, baadaye akafungua huduma ingine Dar es salaam ambayo iko pale Kawe nayo iko Chini ya CAG la Maboya. Na ASKOFU NA MTUME MABOYA ndie ASKOFU WAKE MKUU
Mtume Mwamposya huwa anahudumia makanisa mawili kwa Mpigo huwa yuko Dar es salaam na Moshi .Huweza kuhudumu kote kwa kutumia ndege za abiria.Akimaliza huku anapanda ndege anaenda kwingine kuhudumia.
Hizi ndege mara ingine zinamchelewesha huduma yake.Tunamwomba Mungu AMPE ndege yake binafsi ambayo atakuwa nauwezo wa kuondoka muda wowote atakao na kwenda kuhudumu popote sababu anahitajika mikoa yote Tanzania lakini sababu hana ndege yake binafsi mfano ya kuendesha ibada ya asubuhi labda Mwanza na ibada ingine Dar kwa siku inakuwa vigumu
Tuko kwenye maombi Mungu ampe ndege ya aina ya Gulfstream ina mbio za kutosha kwa private jets.Tushirikiane kumwombea apate
BULLDOZER MWAMPOSYA HUYOOOO
View attachment 1350819
Waumi mimi siwezi kuwasaka bali Mungu mwenyewe ndiye anyeokoa,mtu hawezi kumpokea Yesu kwa ushawishi wa maneno ya kibinadamu kama Mungu mwenyewe hajamgusa.Sisi kazi yetu ni kuhubili kazi ya Mungu ni kuokoa.Hii issue ni serious sijafunguka kwa sababu za msingi nikifunguka yote niyajuayo joto litazidi.Kumbuka mimi ni kondoo katikati ya mbwa mwitu,hivyo ni lazima niwe makini.Yesu alisema "Ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu"Huu mstari si wa kuubeza.unasaka waumini humu ha ha ha ha
Hahaha mimi si wa mafuta kaka mimi ni "team by Jesus name".Kuna mambo ya kujadili hapa na mengine ni private,kama unataka kujifunza na wewe njoo inbox nikuelekeze pa kwenda kama utasema uko mkoa gani hapa Tz.Hapana kwanini iwe inbox hapa hapa na sisi tusikie isije ukawa unataka kumpeleka akakanyage mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
BIBLIA NDIO IMEANDIKA HILO.
Hapo mnaposema bila kumwamini nabii hufanikiwa,sidhani kama ni kibiblia kwa maana kama kuna sehemu hakuna nabii hakuna watu kufanikiwa au ni manabii wameliweka hivyo ili muendelee kuwategemea?
itakuwa umefananisha na katoliki mzee ngoja wajekumbe wew mu KKKT ambao mwanzo hadi mwisho wa ibada hamna cha deliverance wala nini.MTU ANAINGIA NA PEPO LAKE NA ANATOKA NALO
Mi niko darHahaha mimi si wa mafuta kaka mimi ni "team by Jesus name".Kuna mambo ya kujadili hapa na mengine ni private,kama unataka kujifunza na wewe njoo inbox nikuelekeze pa kwenda kama utasema uko mkoa gani hapa Tz.
Hayo umesema wewe mzee mi simoAnatafuta waumini hajui pa kuwapata!!! Karama hana kipawa hana ni kajaa tu mineno ya kushawishi ya kilaghai.
hapo ndipo Mwamposya anawapiga bao sababu injili yake sio ya maneno matupu