Aqua
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 1,658
- 1,229
Serious?Aisee ilikuwaje ni hapa JF au nje ya JF,njoo inbox unipe abc za hiyo kitu.Ulitaka kutia mchanga kitumbua cha watu?Kumbeeeeeee
Mimi sikujua kama amri imetolewa na nabii wakae kimya kwenye mitandao.
Mimi kumsema nabii na mtume nimetishiwa kufa, na kwamba nichunge ulimi naongea sana nisije kumlaumu mtu yeyote wakati napewa cha moto.