Kuna walimu waliozaliwa kuwa walimu ila hawakusomea taaluma ya walimu na wakawa walimu wa wanaosomea taaluma ya walimu, na kuna walimu waliosomea taaluma ya walimu japo hawakuzaliwa kuwa walimu kwa asili. changanya na za kwakoNaomba msaada wenu wanajf najua wako wataalamu waliobobea ktk mambo ya elimu
Nimekupata mkuu.. japo maelezo yako yanakanganya kidogoKuna walimu waliozaliwa kuwa walimu ila hawakusomea taaluma ya walimu na wakawa walimu wa wanaosomea taaluma ya walimu, na kuna walimu waliosomea taaluma ya walimu japo hawakuzaliwa kuwa walimu kwa asili. changanya na za kwako
Hujaelewa na hapo?Unahitaji mwalimuNimekupata mkuu.. japo maelezo yako yanakanganya kidogo
Alitumia self knowledge, elimu ya kufundishwa ni formal au foreign it means kwamba sio halisi - you may call it fake kwasababu ina limitations.Naomba msaada wenu wanajf najua wako wataalamu waliobobea ktk mambo ya elimu
Naomba msaada wenu wanajf najua wako wataalamu waliobobea ktk mambo ya elimu
Mwalimu wa KWANZA alifundishwa na SOCRATES kupitia DIELECTRICAL MATERIALISM ,Naomba msaada wenu wanajf najua wako wataalamu waliobobea ktk mambo ya elimu
Anazungumzia elimu ya shuleni na kuna wazazi hawajaenda shule elewa mada vizuri.Mwalimu wa kwanza alifundishwa na wazazi, mzazi wako ndiye mwalimu wako wa kwanza so tengeneza logic from there.
Nashukuru nimepata kitu...maana hata walimu wenzangu walichemka kidogoWalimu wa mwanzoni walikuwa ni ma-observant.
Ni watu waliokua wakiangalia maumbo ya vitu, taratibu za jamii n.k na kuzirekodi.
Baada ya kurekodi waliwafundisha watu wengine hivyo kujikuta rekodi zao[Knowledge] vikihama kutoka kizazi kimoja hadi kingine na mwishowe kuzaa 'elimu'.
Mfano ni wanafalsafa wa magharibi kama Socrates, Plato, Pythagoras, n.k waliokuwa wakichunguza maumbo ya ulimwengu na kuyarekodi kisha kuwafundisha wengine hadi elimu ya leo.
Kuna hearsay zinasema Socrates alikuwa anafundisha bure kwa sharti moja la kutaka mwanafunzi amgonge maana alikuwa shoga.Mwalimu wa KWANZA alifundishwa na SOCRATES kupitia DIELECTRICAL MATERIALISM ,
waliofundishwa walikuwa wengi ( sokoni na maeneo mengine ya mikusanyiko ya watu) lakini aliyeibukia zaidi ni PLATO ,
Huyu naye akamfundisha ARISTOLE kwa kiasi fulani cha PESA ( hapo ndipo ADA ilipoanzia),
ARISTOTLE akagundua baadhii ya masomo yanayo fundishwa hadi Leo kama BIOLOGY n.k
Kama Dekitambi alivyokueleza Socretes ndio mwalimu wa kwanza aliekua anatumia dialect materialism kwa kukusanya watu na kuwafundisha ambapo alirithiwa na mwanafunzi wake plato na baadae plato nae alirithiwa na Aristotle kati ya 425BC Mpaka 278BC huko GreeceNaomba msaada wenu wanajf najua wako wataalamu waliobobea ktk mambo ya elimu
Sikweli ,Kuna hearsay zinasema Socrates alikuwa anafundisha bure kwa sharti moja la kutaka mwanafunzi amgonge maana alikuwa shoga.
Umewahi kusikia kitu kama hicho?