Dahafrazeril
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,500
- 2,055
Mwalimu wa kwanza alijifunza peke yake through dialectic materialism and something similar to this method.
Yupo mtu mmoja aliitwa Frederick Douglas,Ukimsoma katika Autobiography yake utagundua kuwa alijifunza kusoma mwenyewe baada ya kumsikia slave master wake akimueleza mkewe kuwa Mtumwa hapaswi kujua Kusoma wala kuandika kwasababu hato-fit kuwa mtumwa baada ya kujua,so wapo watu wengi ambao wali-emerge na Elimu fulani pasipo kufundishwa.Japo wazungu walimbeza but he still a legend for what he did.
The Autobiography of Steven Douglas written by himself.Ukimsoma utajifunza mengi.
Yupo mtu mmoja aliitwa Frederick Douglas,Ukimsoma katika Autobiography yake utagundua kuwa alijifunza kusoma mwenyewe baada ya kumsikia slave master wake akimueleza mkewe kuwa Mtumwa hapaswi kujua Kusoma wala kuandika kwasababu hato-fit kuwa mtumwa baada ya kujua,so wapo watu wengi ambao wali-emerge na Elimu fulani pasipo kufundishwa.Japo wazungu walimbeza but he still a legend for what he did.
The Autobiography of Steven Douglas written by himself.Ukimsoma utajifunza mengi.