Je, Mwalimu Nyerere angelitumiaje mitandao ya kijamii?

Medicci

JF-Expert Member
Dec 26, 2016
553
915
Ukweli umekuwa uchochezi, watanzania Tunawaogopa wasiojulikana. And the fact hawajawika kwa muda sasa sijui wamebadilisha mkakati.

Yaani watanzania tumekuwa waoga sana.
Hivi Mwalimu angeluwa muoga na mjinga wa hali tuliyonayo tungekuwa wapi.

Tunaadvantage ya social media lakini bado tena huko ndio waoga mwanzo mwisho.
Sijui Mwalimu na harakati zake kama wangekuwa wamebarikiwa hii mitandao ya Kijamii angemafanya makubwa kiasi.

Yaan Kodi ulipe wewe halafu ushindwe kuwa na maamuzi na Mali yako.

Tuache uwoga,
NUKUU
Samwel Sitta.
"* wajukuu zetu watatukana makaburi yetu *"
583e54e64e1bd62e028600260df11e6d.jpg
 
Nadhani yeye alichangia kua na kizazi cha watu waoga na wanafiki ktk nchi hii. Hivi nani katika utawala wake angethubutu kuyasema hata nusu ya wanayoyasema sasa hivi wapinzani ktk majukwaa na media?
Sema alikua mtu mweledi sana, mwenye akili na mbinu nyingi, bingwa wa kucheza karata za kisiasa za ndani na nje ya nchi kwa umahiri na ustadi wa kiwango cha juu mno!
Alijua kusuka mifumo(system) na kuelekeza utendaji na mwelekeo wake. Ilikua ni vigumu sana kumshinda kwa hoja na aliipenda nchi yake kwa dhati ya kuipenda na aliidharau mali. Mwalimu hakuiba na katika hili hakuwahi hata kutiliwa japo shaka!
Pamoja na hayo alikua ni mgumu wa kukubali au kupokea asichokiamini yeye na wanaomjua wanasema ilikua ni hatari kupingana nae, nadhani hili lilichangia kiasi kikubwa kutengeneza viongozi na hata watu wanafiki wanaojilazimisha kuunga mkono mambo ambayo hawakuyaamini hata wao. Ndio maana alipo ondoka tu madarakani wakajitokeza watu waliokua na misimamo tofauti kabisa na yeye na kwa vitendo, itikadi, misimamo na maneno, wakampinga hadharani!
 
Nadhani yeye alichangia kua na kizazi cha watu waoga na wanafiki ktk nchi hii. Hivi nani katika utawala wake angethubutu kuyasema hata nusu ya wanayoyasema sasa hivi wapinzani ktk majukwaa na media?
Sema alikua mtu mweledi sana, mwenye akili na mbinu nyingi, bingwa wa kucheza karata za kisiasa za ndani na nje ya nchi kwa umahiri na ustadi wa kiwango cha juu mno!
Alijua kusuka mifumo(system) na kuelekeza utendaji na mwelekeo wake. Ilikua ni vigumu sana kumshinda kwa hoja na aliipenda nchi yake kwa dhati ya kuipenda na aliidharau mali. Mwalimu hakuiba na katika hili hakuwahi hata kutiliwa japo shaka!
Pamoja na hayo alikua ni mgumu wa kukubali au kupokea asichokiamini yeye na wanaomjua wanasema ilikua ni hatari kupingana nae, nadhani hili lilichangia kiasi kikubwa kutengeneza viongozi na hata watu wanafiki wanaojilazimisha kuunga mkono mambo ambayo hawakuyaamini hata wao. Ndio maana alipo ondoka tu madarakani wakajitokeza watu waliokua na misimamo tofauti kabisa na yeye na kwa vitendo, itikadi, misimamo na maneno, wakampinga hadharani!
Remy ongala


Swissme
 
Nadhani yeye alichangia kua na kizazi cha watu waoga na wanafiki ktk nchi hii. Hivi nani katika utawala wake angethubutu kuyasema hata nusu ya wanayoyasema sasa hivi wapinzani ktk majukwaa na media?
Sema alikua mtu mweledi sana, mwenye akili na mbinu nyingi, bingwa wa kucheza karata za kisiasa za ndani na nje ya nchi kwa umahiri na ustadi wa kiwango cha juu mno!
Alijua kusuka mifumo(system) na kuelekeza utendaji na mwelekeo wake. Ilikua ni vigumu sana kumshinda kwa hoja na aliipenda nchi yake kwa dhati ya kuipenda na aliidharau mali. Mwalimu hakuiba na katika hili hakuwahi hata kutiliwa japo shaka!
Pamoja na hayo alikua ni mgumu wa kukubali au kupokea asichokiamini yeye na wanaomjua wanasema ilikua ni hatari kupingana nae, nadhani hili lilichangia kiasi kikubwa kutengeneza viongozi na hata watu wanafiki wanaojilazimisha kuunga mkono mambo ambayo hawakuyaamini hata wao. Ndio maana alipo ondoka tu madarakani wakajitokeza watu waliokua na misimamo tofauti kabisa na yeye na kwa vitendo, itikadi, misimamo na maneno, wakampinga hadharani!
Katika yako hayo uliyoandika Main point is "NYERERE ALIPENDA NCHI YAKE KWA DHATI".Full stop

RIP
 
Katika yako hayo uliyoandika Main point is "NYERERE ALIPENDA NCHI YAKE KWA DHATI".Full stop

RIP
Hatumtendei hali kama hatuzungumzi pande zake mbili za sarafu, pamoja na yote mazuri he was a normal human being na alifanya pia makosa ambayo mengine yana impact hadi leo
 
Hakupenda tuwe na TV ya taifa kuepuka propaganda za magharibi. RTD ilikuwa ni taarifa ya habari na mchana vipindi vya chakula bora na ukulima wa kisasa kwa kwenda mbele.
Kulikua na vipindi vingi vya elimu na burudani pia. Maadili yalizingatiwa vilivyo, hapakua na nyimbo ambazo huwezi zisikiliza na wanao, hata hivyo kulizalisha waandishi wa habari ambao hawakua critic kwa serikali
 
Kulikua na vipindi vingi vya elimu na burudani pia. Maadili yalizingatiwa vilivyo, hapakua na nyimbo ambazo huwezi zisikiliza na wanao, hata hivyo kulizalisha waandishi wa habari ambao hawakua critic kwa serikali
Vipindi vya burudani ni kuanzia saa moja jioni. Uzuri wake idadi ya waliojua kusoma na kuandika ilikuwa juu hata vile vitabu vya ukulima bora viliweza kusambaza ujumbe kirahisi. Ilikuwa rahisi pia kuelimisha jamii juu ya magonjwa mlipuko kama kipindupindu
 
Vipindi vya burudani ni kuanzia saa moja jioni. Uzuri wake idadi ya waliojua kusoma na kuandika ilikuwa juu hata vile vitabu vya ikulima bora viliweza kusambaza ujumbe kirahisi. Ilikuwa rahisi pia kuelimisha jamii juu ya magonjwa mlipuko kama kipindupindu
Na hapakua classes kama siku hizi, shule za serikali walikua wanasoma watoto viongozi, watoto wa matajiri na watoto wa masikini, kwa hiyo taifa lote lilikua na muelekeo mmoja unaojulikana
 
Na hapakua classes kama siku hizi, shule za serikali walikua wanasoma watoto viongozi, watoto wa matajiri na watoto wa masikini, kwa hiyo taifa lote lilikua na muelekeo mmoja unaojulikana
Yaan double standards nje nje, hatuelekei pazuri lakini.
Hatukuwaga watu wa hizi tabia
 
Ukweli umekuwa uchochezi, watanzania Tunawaogopa wasiojulikana. And the fact hawajawika kwa muda sasa sijui wamebadilisha mkakati.

Yaani watanzania tumekuwa waoga sana.
Hivi Mwalimu angeluwa muoga na mjinga wa hali tuliyonayo tungekuwa wapi.

Tunaadvantage ya social media lakini bado tena huko ndio waoga mwanzo mwisho.
Sijui Mwalimu na harakati zake kama wangekuwa wamebarikiwa hii mitandao ya Kijamii angemafanya makubwa kiasi.

Yaan Kodi ulipe wewe halafu ushindwe kuwa na maamuzi na Mali yako.

Tuache uwoga,
NUKUU
Samwel Sitta.
"* wajukuu zetu watatukana makaburi yetu *"
583e54e64e1bd62e028600260df11e6d.jpg
Nyerere angekuwepo sidhani kama mitandao ingekuwepo ange block wala msingekuwa na uhuru wa maneno. Na hivyo ndio inavyo takiwa mpaka hapo hii nchi itakapo kuwa na asilimia 70 ya watu wanao jua kusoma na kuandika
 
Hakupenda tuwe na TV ya taifa kuepuka propaganda za magharibi. RTD ilikuwa ni taarifa ya habari na mchana vipindi vya chakula bora na ukulima wa kisasa kwa kwenda mbele.
Mazungumzo baada ya habari, mama na mwana, michezo ya kuigiza, kombora
 
Back
Top Bottom