Ujenzi wa Viwanda unaondelea kwa kasi, Miundo mbinu na uwekezaji kasi katika Elimu na nyanja mbalimbali, hatuna Mpinzani tutaipita South Africa, Nigeria, Egypt, Kenya
Naiona Tanzania kiranja mkuu wa Africa.
labda kwa utekaji.Ujenzi wa Viwanda unaondelea kwa kasi, Miundo mbinu na uwekezaji kasi katika Elimu na nyanja mbalimbali, hatuna Mpinzani tutaipita South Africa, Nigeria, Egypt, Kenya
Naiona Tanzania kiranja mkuu wa Africa.
HahahaWewe hatutafika huko kwani dunia itakuwa imeshaisha
Hivi brn ilifadhiliwa au ni mchongo wa ndani wajanja waliwahi chao?"DID YOU KNOW 2045 TANZANIA IS MOST POWERFUL ECONOMICS IN AFRICA"
Ili ni zao la Big result now (BRN)