Mtoto WaKabwela
Member
- Mar 25, 2011
- 28
- 6
Napenda kuwauliza WanaCCM wote bara na Visiwani, Je Muungano ukifa na CCM itakufa? Kwani chanzo cha CCM ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Muungano wa Vyama vya siasa kati ya TANU na ASP, Kwa Hiyo Kufa kwa Muungano ni Kufa kwa CCM na Kuwepo kwa CCM ni kuwepo kwa CCM