Kilele9
JF-Expert Member
- Jun 1, 2017
- 1,452
- 1,091
Ni upi mfanano wa Mfereji wa Suez na hilo daraja unalo-propose?
NI Waafrika wangapi wanaenda Misri kuangalia hayo mapiramidi kabla hatujawafikiria kuja kuangalia "daraja letu"?
Ikiwa Daraja la Kigamboni ambalo halifiki hata 1KM limekula takribani TZS 300 Billion, uliwahi kujiuliza daraja lenye urefu wa zaidi ya 40km litakula trilion ngapi? Nitakuwa nimesema uongo nikisema litachukua zaidi ya TZS 25 Trillion?
Ni usafirishaji wa nini hasa unaosema "miondombinu ya kurahisisha usafirishaji kwa bei nafuu" hadi daraja linaloweza kugharimu zaidi ya trilioni 25 liweze kuwa na tija? Cargo or passengers transport?
Kama ni cargo... ni mzigo upi na utakuwa unatoka pande ipi kwenda ipi hadi uwe na tija kuusafirisha kupitia daraja linalopita baharini kwa zaidi ya 40km (from Bagamoyo)
Na kama ni abiria, do you really believe usafirishaji wa abiria kwenye daraja refu kama hilo unaweza kuwa commercially and economically viable?
Thread 'Bilioni 18.8 Kujenga Ofisi ya Makamu wa Rais Dodoma' Bilioni 18.8 Kujenga Ofisi ya Makamu wa Rais Dodoma