Je, Muungano Bridge inawezekana Tanzania?

Anasa za kijinga hizi. Hilo daraja litarahisisha vipi usafiri kwa kipimo cha kiasi cha nauli, muda na usalama?

Halifai ni mradi wa anasa kwa kuwa Zanzibar haina hadhi ya Dubai
Rome was not built in one day. Siyo kwamba hata Dubai haikushuka toka Mbinguni bali ni zao la mchakato mrefu wa kulaumiana na kukatishana tamaa lakini wakasonga mbele. Ni vivyo hivyo Zanzibar ya Dr. Mwinyi siyo ile ya Sultan Jamshid.
 
1. Miundombinu ya kurahisisha usafirishaji kwa bei nafuu kuliko anga na majini.
2. Kivutio cha utalii kwa Waafrika ambao ni 1.2 bl 16% ya watu wa dunia.
3. Mafunzo na utafiti kwa wataalam wa ndani na nje wakati wa kulimaintain.
4. Kuingiza fedha serikalini kupitia tozo za watumiaji.
5. Kuchochea ukuaji wa uchumi wa bluu.
6. Suez Canal ni ya pili kwa kuingizia Misri fedha mbali na Mapiramidi.

Badala ya kuwapa Wachina Bagamoyo tuwape hii wajenge kwa kanuni ile ya BOT (Build, Operate, Transfer) (Jenga, Endesha, Kabidhi serikali baada ya kurudisha mtaji na faida yako).

R.3010b0c90130e5fb774031506f47f0bf
Ni upi mfanano wa Mfereji wa Suez na hilo daraja unalo-propose?

NI Waafrika wangapi wanaenda Misri kuangalia hayo mapiramidi kabla hatujawafikiria kuja kuangalia "daraja letu"?

Ikiwa Daraja la Kigamboni ambalo halifiki hata 1KM limekula takribani TZS 300 Billion, uliwahi kujiuliza daraja lenye urefu wa zaidi ya 40km litakula trilion ngapi? Nitakuwa nimesema uongo nikisema litachukua zaidi ya TZS 25 Trillion?

Ni usafirishaji wa nini hasa unaosema "miondombinu ya kurahisisha usafirishaji kwa bei nafuu" hadi daraja linaloweza kugharimu zaidi ya trilioni 25 liweze kuwa na tija? Cargo or passengers transport?

Kama ni cargo... ni mzigo upi na utakuwa unatoka pande ipi kwenda ipi hadi uwe na tija kuusafirisha kupitia daraja linalopita baharini kwa zaidi ya 40km (from Bagamoyo)

Na kama ni abiria, do you really believe usafirishaji wa abiria kwenye daraja refu kama hilo unaweza kuwa commercially and economically viable?
 
Mgodi mmoja tu unajenga Dar/Tanga-Pemba-Unguja. Tz tuna migodi inayofanyakazi na iliyolala zaidi ya 50.
Tatizo mliaminishwa kuna utajiri mkubwa sana kwenye migodi...

Man, bear in mind kwamba, ni kweli dhahabu ina thamani kubwa sana, tena sana! Lakini uthamani wake huo unatokana na dhahabu kuwa scarce, na kuipata kwake ni investment ya kutosha!!

Ukitoa Top 3 Largest Gold Mines in the world ambayo yote ipo kwenye nchi zisizoaminika linapokuja suala la rushwa, mgodi unaofuata kwa ukubwa, according to mining.com ni Cardia Valley Gold Mine uliopo Australia, na mwaka 2020 mgodi huu ulizalisha 822 koz!!

Nimeachana na hiyo migodi 3 ya juu(from Russia, Dominican Republic, and Indonesia) kwa sababu usije ukasema hizo nchi zimejaa rushw kwahiyo hivyo viwango vinaweza visiwe sahihi!

1 koz ni takribani 28.5kg... kwa maana nyingine, mgodi mkubwa kabisa nchini Australia, mwaka 2020 ulizalisha almost 24,000 kg!!

Bei ya leo ya dhahabu, ni almost USD 57K... kwa maana nyingine, endapo Cardia Valley Gold Mine wangeuza leo dhahabu yao, wangeingiza USD 1.4 Billion!! Hapo hujaangalia production cost ya 1kg!!

Sasa ulishawahi kujiuliza huo mgodi wako mmoja ambao huenda usifike hata nusu ya Cardia Valley Gold Mine kwa uzalishaji, utahitaji miaka mingapi kujenga hilo daraja?!
 
Ujenge daraja kufuata watu laki 8!!!? hu si uchizi?

Si Bora ukaenda kulijenga ziwa Tanganyika kwenda Congo?

kwenye popolulation ya watu milion 100+

Ndio maana nawaambia hi serikali haina washauri ni ujinga ujinga tu!!

Leo kwenda Congo tunapita Zambia wakati tunaweza Jenga daraja pale tena kwa ushirikiano tukawa tunailisha Congo bila kupitia Zambia na Burundi na Rwanda !!
CCM kuna watu wa hovyo sana, wabinafsi na wachumia tumbo tu.
 
Ujenge daraja kufuata watu laki 8!!!? hu si uchizi?

Si Bora ukaenda kulijenga ziwa Tanganyika kwenda Congo?

kwenye popolulation ya watu milion 100+

Ndio maana nawaambia hi serikali haina washauri ni ujinga ujinga tu!!

Leo kwenda Congo tunapita Zambia wakati tunaweza Jenga daraja pale tena kwa ushirikiano tukawa tunailisha Congo bila kupitia Zambia na Burundi na Rwanda !!
Safi sana Congo imekaa vyema
 
Ujenge daraja kufuata watu laki 8!!!? hu si uchizi?

Si Bora ukaenda kulijenga ziwa Tanganyika kwenda Congo?

kwenye popolulation ya watu milion 100+

Ndio maana nawaambia hi serikali haina washauri ni ujinga ujinga tu!!

Leo kwenda Congo tunapita Zambia wakati tunaweza Jenga daraja pale tena kwa ushirikiano tukawa tunailisha Congo bila kupitia Zambia na Burundi na Rwanda !!
Well said, 👉 "2025 baba lazima achague kimoja kati ya mke au watoto"
 
Msoga gang king aliwapa wachina kila kitu baada ya kulamba cha juu
Acha uongo wako wewe...

Yaani wazungu watumie millions of dollars kufanya exploration, halafu wagundue gas waache anapewa Mchina?

Miaka 5 iliyopita mmedanganywa mengi sana lakini mkawa mnashindwa hata kutumia common sense kupima mnachodanganywa...
 
Hiyo migodi yote pamoja na Gas sio mali yetu. Tusingekimbizana na Tozo.
Sasa msikimbizane na tozo kwani gas imeshaanzwa kuchimbwa?

Huko migodini, watu wana-overate sana utajiri wa madini kwa sababu wanachoangalia wao ni bei kubwa ya madini lakni wanasahau upatikanaji wake ni haba, ni unit production cost ni kubwa!!
 
Kuna kipindi nilikuwa nimejipumzisha pale Bagamoyo Beach, nikakiona nadhani kisiwa cha Nungwi, nadhani kuanzia pale hadi Unguja Daraja linawezekana ila litakuwa ghali ghali kweli kweli.
Na ukitaka kujenga darajakwa gharama za "chini" , itabidi utokee Bagamoyo badala ay Dar es salaam lakini kwa sasa haliwezi kuwa na tija. Niliwa kusoma kuhusu daraja moja hivi lililopo China, ambalo na lenyewe ni sea bridge na urefu wake unafanana kwa kiasi fulani na umbali kutoka B/moyo hadi ZNZ!

Lile daraja lilikula karibu TZS 50 Trillion... kwahiyo kwa makisio hayo, si ajabu hapa kwetu gharama ikawa ni angalau bajeti ya miaka 2
 
Kujenga inawezekana, Kuna sehemu Kama siyo mbegani Hadi Zanzibar ni km 32 lakini sio lazima wajenge serikali wanaweza kutumia watu binafsi kasheshe itakuwa kwa wamiliki wa boat kwani watapoteza mapato makubwa kwani watu wataenda hata na daladala
 
Mama tuvushe kwenye daraja tarajiwa la Muungano 2030-2035.
Mojawapo ya faida ya daraja hili ni kuimarisha muungano wa Znz na Tanganyika. Moja ya vitu vilivyoimarisha muungano wa USSR ni ujenzi wa miundombinu ya reli ndefu duniani (9,288.2km) ya Trans Siberian Line toka Mashariki hadi Magharibi ya USSR (Moscow hadi Vladivostok) na kuifanya USSR kuwa Superpower duniani miongoni mwa sababu zingine kama kuwa na gesi nyingi, aina ya siasa na sayansi na teknolojia nk. Tz itakuwa Superpower EAC, GRL, Afrika SSH akijenga daraja hili kwa sababu itaendelea kupaisha nguvu ya kiuchumi ya Tz kwa kuwa na consumer market share/power kubwa kwenye kanda hizo kutokana na muungano ambao unafanya tuwe na idadi kubwa ya walaji na soko la ndani.

1634112891337.png

R.86eb78539d72e4098afe53dc4ffd14fa

R.8f64ecbe28fb9c401f932c338dd8b2dd

Taswira zote kwa hisani ya google.

Reli hii ya USSR China, Poland na Ireland wamekuja kujiunga nayo baada ya kuona manufaa kiuchumi na kimahusiano ya kidiplomasia. Hata baada ya USSR kusambaratika bado reli hii imeendelea kuwaunganisha.
 
Sasa msikimbizane na tozo kwani gas imeshaanzwa kuchimbwa?

Huko migodini, watu wana-overate sana utajiri wa madini kwa sababu wanachoangalia wao ni bei kubwa ya madini lakni wanasahau upatikanaji wake ni haba, ni unit production cost ni kubwa!!
Hizo ni kauli tunazoambiwa na wanasiasa wanaofadika na huo uwekazaji, ili raia wasahu kwamba kunakitu kinaitwa madini. Mzungu aingie gharama ya exploration, asimike mitambo na majengo ya mabilioni ya Dola halafu pasiwe na faida, mabepari hawana taibia hiyo.
 
Hizo ni kauli tunazoambiwa na wanasiasa wanaofadika na huo uwekazaji, ili raia wasahu kwamba kunakitu kinaitwa madini. Mzungu aingie gharama ya exploration, asimike mitambo na majengo ya mabilioni ya Dola halafu pasiwe na faida, mabepari hawana taibia hiyo.
Wapi nimesema hakuna faida ndugu?

Mbona leo nakutana sana na watu wanaosoma kwa pupa na matokeo yake kushindwa kuelewa?!
 
Wapi nimesema hakuna faida ndugu?

Mbona leo nakutana sana na watu wanaosoma kwa pupa na matokeo yake kushindwa kuelewa?!
Sio lazima uandike neno faida, ukichambua ulivyoandika maana yake faida yake itapatikana baadae sana au faida ni ndogo sana kiasi kwamba tusiitegemee kuendesha nchi, kumbuka kuna migodi inamiaka zaidi ya 30. Kama upatikanaji ni wahaba wangeshaondoka tukabaki na wachimbaji wadogo maana gharama za uendeshaji ni kubwa na wasingekubali kupata hasara. Uliposema Unit production cost ni kubwa ulimaanisha ni nini na inaathari gani kwenye soko?
 
Rome was not built in one day. Siyo kwamba hata Dubai haikushuka toka Mbinguni bali ni zao la mchakato mrefu wa kulaumiana na kukatishana tamaa lakini wakasonga mbele. Ni vivyo hivyo Zanzibar ya Dr. Mwinyi siyo ile ya Sultan Jamshid.
Nani atagharamia ujenzi wake?

Nani atahakikisha usalama wa daraja hilo 24/7/365?

Unajenga daraja kwa gharama kubwa ambazo haziingizi kipato chochote kwa nchi badala yake mzigo wanatwikwa wananchi kulipa, haiwezekani.
 
Back
Top Bottom