Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Katika Hali isiyo ya kawaida,nchini Uganda chini ya baraza la mawaziri wamekusudia kupeleka muswada bungeni wa kumuongezea muda raisi wa sasa mhe.Kaguta Museveni na kumpa uwezo wa kutawala hadi kifo.
Hii inakuja muda mfupi baada ya bunge hilo kupitisha mabadiliko ya Katiba na kuweka kikomo cha kutawala Urais hadi kufikia miaka 70.
Upande wa Upinzani umekusudia kupinga vikali jambo hilo kwa hali yeyote ile.
Je,Mhe.Yoweri Kaguta Museveni chini ya baraza lake wataweza kupitisha huo muswada na kumkabidhi raisi huyo kiti hadi kifo??
Hii inakuja muda mfupi baada ya bunge hilo kupitisha mabadiliko ya Katiba na kuweka kikomo cha kutawala Urais hadi kufikia miaka 70.
Upande wa Upinzani umekusudia kupinga vikali jambo hilo kwa hali yeyote ile.
Je,Mhe.Yoweri Kaguta Museveni chini ya baraza lake wataweza kupitisha huo muswada na kumkabidhi raisi huyo kiti hadi kifo??