Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,482
- 188,625
Mimi nikasema "Ya Kiranga Muachie Kiranga"Huyo jamaa sijawai kukutana nae humu JF, ila kuna kijana fulani nimepata kukutana nae mara nyingi Dar city center asee yule jamaa ana hoja zenye nguvu sio mchezo,
Yani akianza kukupa hoja zake wether awe kwenye upande wa MUNGU yupo au upande wa MUNGU hayupo asee huchomokii....kile kichwa sijui ni cha wapi na aliwezaje kuijua biblia vile, mm mpaka nikahisi yule alikua na mapepo/majini
Kama ni huyo yupo humu kwa ID ya kiranga basi namsalimia tu