hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
umejiunga jf juzi tu hapa ...then wasema kuwa hii avatar yangu ni yako ....hebu jitahidi kuficha huo ujinga wako ...utakuja kuchekwa bureHiyo avatar yangu,uufute acha kuiga
umejiunga jf juzi tu hapa ...then wasema kuwa hii avatar yangu ni yako ....hebu jitahidi kuficha huo ujinga wako ...utakuja kuchekwa bureHiyo avatar yangu,uufute acha kuiga
Avatar ya gari?wewe wa wapi wewe?umejiunga jf juzi tu hapa ...then wasema kuwa hii avatar yangu ni yako ....hebu jitahidi kuficha huo ujinga wako ...utakuja kuchekwa bure
sasa ulikuwa wazungumzia avatar au scenario ...avatar ni hiyo pictr yko iliyop hpo kwenye I'd yko mkuu ...ndio maana nikastaajbu uliposema kuwa nimeiba avatar yako ...hahaaaAvatar ya gari?wewe wa wapi wewe?
Ngoja kwanza, karanga ni nani?
Anatumia jF kama kawaida na nilimbahatisha online one day tena less than 30 days agoWlimleftisha jamaa, sidhani kama anatumia JF tena
Wenzio akili zilishaenda mbaliKwahiyo umeona hiyo ni hoja?
siku tukiacha udini tukajikita kwenye hoja kama hivi, dunia itakuwa mahali salama pa kuishi. safi sana!binafsi mimi ni Muslim ..lakini nasema dhahiri kabisaaa Mungu wa hivi vitabu vyetu hivi anamushkeri kwakweli anapaswa kutazamwa kwa jicho LA 3 ...kuna maswali mengi mnooo ukianza kuyauliza kam uko timamu huwezi kupatiwa majibu yake
Swali lake si baya ... maana jina la mtu fulani lapaswa kusomeka vilevile lilivyo ili si tu kuleta maana halisi bali pia kuepuka "contradiction" pale linapokosewa ... That's my opinion, you may buy it or not ..Kwahiyo umeona hiyo ni hoja?
NOTSwali lake si baya ... maana jina la mtu fulani lapaswa kusomeka vilevile lilivyo ili si tu kuleta maana halisi bali pia kuepuka "contradiction" pale linapokosewa ... That's my opinion, you may buy it or not ..
Kiongozi kubali kuwa mkono uliteleza kwa kuandika "Karanga" badala ya "Kiranga" kule ktk original thread yako .. mambo (hoja) mengine yako poa ..Hahahahah mkuu ni kweli mkabisa ,huwezi pita majukwaa yanayojitambua hapa JF ukashindwa kumsikia Kiranga kabisa
Purely SATANISMhahaa utaskia wewe amini tu yupo "" kwani huoni vitu kama peni ..magari .nyumba etc uwepo wa hvyo vitu unabainisha kuwa kuna aliyeviweka ambaye ni binaadamu "" kwa hiyo na uwepo wetu wa binaadamu hapa duniani kuna ambaye amehusika kutuweka......anatokea kiranga anajibu KWAHOJA YAKO HIYO INAMAANA UNADHIHIRISHA WAZI KUWA HUYO ALYEKUWEKA NAYE KUNA AMBAYE ALIMUWEKA .....!!!!
??
HAHAAA mwisho wa siku wanaomuamini MUNGU wanaishia kula chochoro ...kiranga acha kabisaaa yule mtu
Hapo nimekupa TANO ... big upTunaporuhusu bongo zetu zitawaliwe na kutaka majibu na ithibati za kidunia kwenye ulimwengu wa roho ndio hapo mkanganyiko unapoanza....
Jambo lolote la kiroho halina ithibati za kisayansi hivyo mtu anapokukazania umthibitishie uwepo wa Mungu nawe ukaanza kubabaika jua umekwisha... Atacheza nawe atakavyo kwakuwa tayari ameshakutega nawe ukategeka
hata wenzio wakiishiwaga hoja huwa wanajibu kama wewe ..hivi hiviPurely SATANISM