NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
Para
Nchi ya ahadi ndiyo paradiso. Raha - nchi ya asali na maziwa. Ilimaanisha sasa ku-hustle vile jangwani halafu asifike alikokuwa akienda? Wapi imeandikwa kuwa alienda paradiso?
Musa aliikosa nchi ya ahadi ila alipokufa alienda paradise.
Nchi ya ahadi ndiyo paradiso. Raha - nchi ya asali na maziwa. Ilimaanisha sasa ku-hustle vile jangwani halafu asifike alikokuwa akienda? Wapi imeandikwa kuwa alienda paradiso?