Big TIMERS
Senior Member
- Dec 5, 2018
- 120
- 140
Swali- je kusingekuwa na hizo sheria nini kingetokea?NDIYO na SIYO..!
Najua hutaelewa maana kichwa chako kitakuwa kidogo. Iko hivi Mungu ni chanzo cha kila kitu hapa duniani na mbinguni ila sasa kwasababu na makusudi maalum.
Kitalaam( sheria&law philosophy) waliosoma criminology wanajua kuwa ni sheria tu, inayoweza kuunda/kuumba kosa. Kwa msingi huo nasema dhambi ni kosa au crime kwa Mungu na hakuna dhambi ambayo haivunji AMRI/SHERIA ZA Mungu rejea vitabu vya sheria ya Musa(vitabu vitano vya mwanzo katika agano jipya).
Pili siyo Mungu aliyeumba dhambi Mungu kaumba sheria na kuziwekea utaratibu wa kuzitekeleza siye tunaozivunja ndiyo waumba dhambi, ingawa Shetani anasingiziwa kila kukicha.
Bila shaka nimejibu kwa ufupi.