Je, Mungu ndie alimfundisha Binadamu uinjinia, pale alipokua akimwelekeza Nuhu jinsi ya kujenga safina kwa vipimo ?

Mbona ujenzi ni sayanc ndogo sana
Kumbuka hata piramidi tu pale misri, wanasayansi wa leo hii, wanashindwa kuelewa yalijengwaje kwa jinsi ya utaalamu uliotumika, ingawaje yalijengwa na wasio na teknolojia kama ya sasa
 
Habari za asubuhi wana JF,
Kama nilivyouliza hapo juu, ili tupeane mawazo.kama tukisoma kwenye kitabu cha Agano la kale, baada ya Mungu kuwaonya binadamu na wakawa shingo ngumu, na kuamua kuachia gharika, aliwasiliana na Nuhu ambaye ndie alikua mtii kwake, na kumpa majukumu ya kutengeneza safina ili aokoke yeye familia yake pamoja na wanyama na ndege na vitu vingine alivyomuelekeza kuchukua pamoja nae. Tukitazama tuona kwa jinsi ya vitu alivyoagizwa kuvichikua, tunaona ni vingi, na kwa hiyo pia tunaona jinsi Mungu alivyo kua anamuelekeza jinsi ya kutengeneza safina kwa vipimo elekezi, kwa urefu, kwa upana kwa kimo kwa kugawa vyumba n.k
Yaani kila alichokitengeneza katika safina kilikua na lengo lake na kipimo chake .
Kwa jinsi hili linavyoshabihiana na kazi wanazofanya ktk uinjinia zama hizi, Je ,nisahihi kusema Mungu ndie aliyemfundisha Binadamu kazi ya uinjinia ? Na injinia wa Kwanza Duniani ni Nuhu...?
Asanteni na siku njema......

God has never met anybody!

No proof of such meeting ever taken place!

Noah arc story is bullshit!

No scientific proof of such volume of water ever taken place 3000 years ago,

Labda there was scientific proof of ice age milions of years ago na kulikua hakuna binadamu duniani!

Boti yenyewe scientifically can not be made,its nonsense!

The dimensions na jinsi ya kujenga ilivyoelezewa kwenye biblia ni utumbo na stori ambayo science can never be part of by any means whatsoever!

All those are lies and impossible things to happen scientifically!
 
God has never met anybody!

No proof of such meeting ever taken place!

Noah arc story is bullshit!

No scientific proof of such volume of water ever taken place 3000 years ago,

Labda there was scientific proof of ice age milions of years ago na kulikua hakuna binadamu duniani!

Boti yenyewe scientifically can not be made,its nonsense!

The dimensions na jinsi ya kujenga ilivyoelezewa kwenye biblia ni utumbo na stori ambayo science can never be part of by any means whatsoever!

All those are lies and impossible things to happen scientifically!
Mimi nilihitaji waamini biblia ili tuelekezane, sasa kama wewe huiamini tutaongea nini ? Ukizingatia thread yenyewe imetoka kwenye biblia ?
 
Mimi nilihitaji waamini biblia ili tuelekezane, sasa kama wewe huiamini tutaongea nini ? Ukizingatia thread yenyewe imetoka kwenye biblia ?

Utaaminije kitu kinasema uongo wa mchana peupe?

Eti mikono kadhaa kaskazi na miguu kadhaa kusi,mbao vipande kenda,then ujenge boti yenye kubeba species zote duniani!

Those jewish old men where liers beyond anybody!

Biologically tukienda kwenye species,a human being can never be able to collect even now na teknlojia zote zilizopo!

Ndio uzungumzie tech ya miaka 3000 iliyopita?

Ptuuuu
 
Utaaminije kitu kinasema uongo wa mchana peupe?

Eti mikono kadhaa kaskazi na miguu kadhaa kusi,mbao vipande kenda,then ujenge boti yenye kubeba species zote duniani!

Those jewish old men where liers beyond anybody!

Biologically tukienda kwenye species,a human being can never be able to collect even now na teknlojia zote zilizopo!

Ndio uzungumzie tech ya miaka 3000 iliyopita?

Ptuuuu
O.k, hebu tuyaache yangu kwa muda, wewe unafikiri asili ya universe ni nini ?
 
O.k, hebu tuyaache yangu kwa muda, wewe unafikiri asili ya universe ni nini ?

Hakuna ajuaye kwa uhakika 100% imetokea wapi!

Mimi binafsi sijui naendelea kuchunguza na pia nawaangalia binadamu wenzangu wanaochunguza watapata nini hasa!

Theory ya wenye dini sio toshelezi na pia theory ya ambao hatuna dini haitoshelezi!

Hivyo ni swali mwanadamu anaendelea kulitafutia jibu!

Na mimi ni hivyo hivyo,sina jibu toshelezi,for now!
 
kwa Akili.yangu KILA KITU DUNIANI KINA FORMULA YAKE
ukitaka kwenda kuzimu kuna njia kanuni na utaratibu
Ukitaka unda Radio Kuna Kanuni.formula na mpangilio
Ukitaka Gegeda Bila kulipia KUNA FORMULA YAKE utongoze.utambulishe.ulipe mahari.ufunge ndoa na mgegedo hata kila saa
 
Hakuna ajuaye kwa uhakika 100% imetokea wapi!

Mimi binafsi sijui naendelea kuchunguza na pia nawaangalia binadamu wenzangu wanaochunguza watapata nini hasa!

Theory ya wenye dini sio toshelezi na pia theory ya ambao hatuna dini haitoshelezi!

Hivyo ni swali mwanadamu anaendelea kulitafutia jibu!

Na mimi ni hivyo hivyo,sina jibu toshelezi,for now!
Uchunguzi wa ki vipi labda,kama sio sayansi ?
 
Hivi kwanini swali hili limekua kimbilio la wengi wenu humu??
Swali lenyewe linatokana na upeo mdogo wa mawazo, tunauliza kama mtu kipofu anayejua sauti tu, hajui rangi, sasa anataka kujua rangi nyekundu ikoje, halafu anauliza"hivi mlio wa rangi nyekundu ukoje?".

Kumuelewesha kwamba rangi haina mlio ni kazi sana hapo. Kashajiwekea kwamba yeye anatambua vitu kwa mlio, hivyo kila kitu kina mlio.

Ukisoma Quantum Physics, at a certain level, causality breaks down.

Na swali hili msingi wake ni causality.

Kwa hivyo, ukisoma deep kwenye quantum physics, swali hili linakosa maana.

Kwa maana hata muda wenyewe unavunjika, kunakuwa hakuna nyuma na mbele katika muda.

Sasa, ili useme asili ya hiki ni hiki, inabidi vyote viwe katika muda, kianze hiki, kifuate kile.

Sasa, kwenye sehemu ambayo haina muda, utasemaje kwamba asili ya hiki ni kile? Utawezaje kusema hiki kilianza, halafu hiki kikafuatia, wakati hakuna muda wa kupima kipi kilianza na kipi kilifuatia?

Simaanishi kwamba hakuna kifaa cha kupima muda, kama saa, hakuna muda, yaani muda wenyewe haupo.

Hapo utajibu vipi swali la asili?

Kwa zaidi mtu anayetafuta majibu asome kitabu cha Sir Roger Penrose.

"The Road To Reality: A Complete Guide To The Laws Of The Universe"


6770.jpg
 
Hivi kwanini swali hili limekua kimbilio la wengi wenu humu??
Jamaa,kaingilia kati thread na kuanza kuni crash kwa kila comment, ndipo nikamuuliza hivyo.matokeo yake kaniambia maandishi ya biblia ni uongo, na sayansi ni uongo, na yeye bado hajui bado yupo kwenye utafiti wake, huku akiangalia na wenzake..
 
Uchunguzi wa ki vipi labda,kama sio sayansi ?

So far ni science ndio possibly tunaweza fanya uchunguzi na kujaribu kujifunza what really occured!

So far mwanadamu ana study of science!

Hakuna kingine!

Labda kingine ndio hizo zenu za kufikiria some illusions with no tangible evidences!
 
So far ni science ndio possibly tunaweza fanya uchunguzi na kujaribu kujifunza what really occured!

So far mwanadamu ana study of science!

Hakuna kingine!

Labda kingine ndio hizo zenu za kufikiria some illusions with no tangible evidences!
Do you know what science means, or about the law of nature means, please help me, may be i've got my knowledge astray somewhere..?
 
Tuliumbwa kwa mfano wake, yote mema tunayoyafanya basi ni faraja kwake na yamebarikiwa. Nuhu alipata maagizo akatekeleza na akabarikiwa yeye na uzao wake.
 
Back
Top Bottom