olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 504
- 375
- Thread starter
- #21
Mungu ni Roho kamili haba mwili.
(Mwanzo 1:2)
Aliposema tumfanye mtu kwa mfano wetu, na sura yetu. Alimaanisha mfano wa yeye (ROHO), na ndio maana licha ya wanadamu kutofautiana kimwili sote tunafanana na MUNGU kwa Roho.
Hivyo mfanano wa sisi na Mungu ni ROHO ZETU.
Mkuu yohana alikuwa katika roho na akaona mtu mfano wa mwanadamu, unaweza ukaelezea hiyo;
Ufunuo wa Yohana : 1 : 13 - na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini.
via OneLink.To