Je, Mungu ana sura ya mwanadamu?

Mungu ni Roho kamili haba mwili.
(Mwanzo 1:2)

Aliposema tumfanye mtu kwa mfano wetu, na sura yetu. Alimaanisha mfano wa yeye (ROHO), na ndio maana licha ya wanadamu kutofautiana kimwili sote tunafanana na MUNGU kwa Roho.

Hivyo mfanano wa sisi na Mungu ni ROHO ZETU.

Mkuu yohana alikuwa katika roho na akaona mtu mfano wa mwanadamu, unaweza ukaelezea hiyo;
Ufunuo wa Yohana : 1 : 13 - na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini.
via OneLink.To
 
Mkuu yohana alikuwa katika roho na akaona mtu mfano wa mwanadamu, unaweza ukaelezea hiyo;
Ufunuo wa Yohana : 1 : 13 - na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfano wa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini.
via OneLink.To
Asante.

Ni kweli Yohana kipindi hiki alikuwa katika kisiwa cha patmo, na kuwa katika Roho alikomaanisha ni HALI YA KUWA KARIBU NA MUNGU, KUWA KATIKA USAFI, UCHAJI NA UTAUWA WA KIWANGO CHA JUU KIROHO, mtu akiwa katika hali hii tunasema yupo katika ulimwengu wa roho, ulimwengu ambao Mungu (Ambaye ni ROHO kamili) huwasiliana/kuzungumza na wanae kiroho... Hivyo Basi Yohana akiwa katika Roho, alipata kumuona huyo mtu mfano wa mwanadamu.. Pengine angekua katika hali ya mwili asingeweza kumuona.

Je mtu huyu alikua ni nani? Jibu liko hapa chini...

Ufunuo wa Yohana 1:17-18
"Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu."

Mtu huyo ili tumjue hebu tuangalie sifa zake, kimuonekano na zile alizotaja kwa maneno yake kama ilivyosikika kwa masikio na kuandikwa kwa mikono ya Yohana..

Mtu huyu kwanza, Anamuambia Yohana USIOGOPE... Hii ina maana Yeye Hana Hofu (Ameishinda hofu), Tujiulize ni mwanadamu gani hana hofu? Bila shaka yule hakuwa mwanadamu na ndio maana Yohana alisema aliona mtu, mfano wa mwanadamu.

Sifa ya pili, MIMI NI WA KWANZA NA WA MWISHO (ALPHA AND OMEGA), Je ni mwanadamu gani ambaye ni alpha and Omega? Hayupo.. Basi huyu hakuwa mwanadamu Bali ni mtu mfano wa mwanadamu..

Sifa ya tatu, ALIYE HAI, NAMI NALIKUWA NIMEKUFA... Huyu Bwana mkubwa bila shaka yeye ndiye MASIHA, Mwamba wa miamba, Alpha and Omega, Asiye na Hofu.

Sifa ya Nne, Yuko hai hata milele na milele.. Huyu ndiye MFALME wetu Yesu Kristo wa Nazareth.

Sifa ya tano, NAMI NINAZO FUNGUO ZA MAUTI NA ZA KUZIMU.. Hapa ndipo anapojitambulisha kwa UMUHIMU WA KULE KUFA NA KUFUFUKA KWAKE SIKU YA TATU... Yesu alikufa, Akazikwa AKASHUKA KATIKA WAFU, Huko alienda Kumnyang'anya shetani Mamlaka na Umiliki wa hizo funguo.

Basi bila shaka, Yohana akiwa katika ulimwengu wa roho alionana na kuongea na YESU KRISTO WA NAZARETH, BWANA WA MABWANA, MFALME WA WAFALME, MWANA WA MUNGU ALIYE HAI, AKETIYE KUUME KWA MUNGU BABA, MWENYE USHIRIKA PAMOJA NASI KUPITIA ROHO MTAKATIFU, AMBAYE KWAKE TWAPATA UZIMA WA MILELE NA TUMAINI LA UHAI WETU..

Bila shaka nimejibu/Nimeeleza ulichotaka, Kama sivo ULIZA TENA.
 
YALE YOTE YANAYOAFIKIANA NA QUR AN NIYA KWELI NA YANAYOPINGANA NAYO NIYA WANADAMU

MUNGU HAFANANI NA MWANADAMU
Kuruani hiyo ndiyo ile imeshushwa eti ..haijaandikwa daaah Mudy janja janja sana ...jitahidi ukapewe mabikra 72 mbinguni aisee Mudi ni noma
 
Kwanza na declair interest mimi ni Mkristo na nitatumia Biblia, maandiko mbalimbali ya kikristo, wanatheolojia mbalimbali, maono mbalimbali ya kikristo na yangu Binafsi kuhusu Mungu na kufanana na mwanadamu/Mtu.

NENO: MWANZO 1:26-28 Mungu anasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu. Hapa aliongea na watoto wake wa kimbingu kabla ya uumbaji wa mwanadamu. Wana aliokuwa anaongea nao ni viumbe wa kiroho yaani malaika, maserafi, makerubi n.k. Ukisoma Biblia watumishi wa Mungu waliowahi Kutana na malaika walikuwa na sura (Image) na maumbo ya kibinadamu(Image) na sio wanyama.

Watumishi wa Mungu manabii na mitume waliobahatika kumuona Mungu alijifunua kwao kama (Image) mtu/mwanadamu Toka Isaya, Daniel tena alimuona "kama mzee wa siku" hadi Nabii Yohana walimuona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu"(Image)

Hata mimi binafsi nishawahi muona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu (Image)

Kwa hiyo, Mungu anafanania (Image) mwanadamu na hii ipo wazi kwani kabla ya anguko la mwanadamu. Mwanadamu alikuwa mtawala wa dunia na Mungu alimpa atawale kama ambavyo yeye anatawala Mbinguni na hata mwanaye wa pekee a.k.a mwana wa Mmiliki alikuja na kukaa duniani kwa Image kama mwanadamu.
 
Mwanzo 1:26
"Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi."

Kwanza kabisa, Mungu anaonekana anazungumza na mtu/watu ambao wanafanana maumbile na muonekano wao.. (Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; )

Hebu jiulize duniani tupo watu wangapi? Maelfu ya mamilioni bila shaka, na sote tunatofautiana sura zetu.. SWALI, Je Mungu Kama alimfanya mwanadamu kwa mfano wake, kwa sura yake kwanini wanadamu tunatofautiana?

Ili kupata JIBU la swali hili lazima tujiulize wanadamu WANAFANANA kitu gani? - Sura (Hapana), Maumbo (Hapana), Fikra (Hapana), Je kipi haswa wanafana Basi? Bila shaka ni ROHO.. Kila mwanadamu ana Roho, na hii ndio inawapa ufanano wanadamu.

Hivyo Basi, tumeomana wanadamu wanafana Roho.. bila shaka huu ndio mfano wa Mungu, hii ndio sura/muonekano wa Mungu.

Sasa Basi, tutizame Maandiko matakatifu yanasemaje, Mungu ana muonekano upi?

Kwa pamoja, sote tunaotamani kupata jibu la swali hili tuangalie kile kitabu cha mwanzo, ile sura ya kwanza ule mstari wa pili..

Mwanzo 1:2
"Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji."

Basi kumbe Maandiko matakatifu yanasema kuwa Mungu ni ROHO, Hapa sasa tunaona ya kuwa mfano wa Mungu na sura ya Mungu ndani yetu ni ROHO ZETU.
Ni kweli mtumishi Mungu anafanana na mwanadamu kiroho japo Roho nayo ni mtu. 2 Korintho 4:16.

Mwanadamu ni image ya Mungu na hili linaonekana tu kwa wanadamu wote. Hata kama ni mfupi, mrefu, mweusi, mweupe tuna mfano mmoja wa kisura na kimaumbile.
 
Asante.

Ni kweli Yohana kipindi hiki alikuwa katika kisiwa cha patmo, na kuwa katika Roho alikomaanisha ni HALI YA KUWA KARIBU NA MUNGU, KUWA KATIKA USAFI, UCHAJI NA UTAUWA WA KIWANGO CHA JUU KIROHO, mtu akiwa katika hali hii tunasema yupo katika ulimwengu wa roho, ulimwengu ambao Mungu (Ambaye ni ROHO kamili) huwasiliana/kuzungumza na wanae kiroho... Hivyo Basi Yohana akiwa katika Roho, alipata kumuona huyo mtu mfano wa mwanadamu.. Pengine angekua katika hali ya mwili asingeweza kumuona.

Je mtu huyu alikua ni nani? Jibu liko hapa chini...

Ufunuo wa Yohana 1:17-18
"Nami nilipomwona, nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,
na aliye hai; nami nalikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu."

Mtu huyo ili tumjue hebu tuangalie sifa zake, kimuonekano na zile alizotaja kwa maneno yake kama ilivyosikika kwa masikio na kuandikwa kwa mikono ya Yohana..

Mtu huyu kwanza, Anamuambia Yohana USIOGOPE... Hii ina maana Yeye Hana Hofu (Ameishinda hofu), Tujiulize ni mwanadamu gani hana hofu? Bila shaka yule hakuwa mwanadamu na ndio maana Yohana alisema aliona mtu, mfano wa mwanadamu.

Sifa ya pili, MIMI NI WA KWANZA NA WA MWISHO (ALPHA AND OMEGA), Je ni mwanadamu gani ambaye ni alpha and Omega? Hayupo.. Basi huyu hakuwa mwanadamu Bali ni mtu mfano wa mwanadamu..

Sifa ya tatu, ALIYE HAI, NAMI NALIKUWA NIMEKUFA... Huyu Bwana mkubwa bila shaka yeye ndiye MASIHA, Mwamba wa miamba, Alpha and Omega, Asiye na Hofu.

Sifa ya Nne, Yuko hai hata milele na milele.. Huyu ndiye MFALME wetu Yesu Kristo wa Nazareth.

Sifa ya tano, NAMI NINAZO FUNGUO ZA MAUTI NA ZA KUZIMU.. Hapa ndipo anapojitambulisha kwa UMUHIMU WA KULE KUFA NA KUFUFUKA KWAKE SIKU YA TATU... Yesu alikufa, Akazikwa AKASHUKA KATIKA WAFU, Huko alienda Kumnyang'anya shetani Mamlaka na Umiliki wa hizo funguo.

Basi bila shaka, Yohana akiwa katika ulimwengu wa roho alionana na kuongea na YESU KRISTO WA NAZARETH, BWANA WA MABWANA, MFALME WA WAFALME, MWANA WA MUNGU ALIYE HAI, AKETIYE KUUME KWA MUNGU BABA, MWENYE USHIRIKA PAMOJA NASI KUPITIA ROHO MTAKATIFU, AMBAYE KWAKE TWAPATA UZIMA WA MILELE NA TUMAINI LA UHAI WETU..

Bila shaka nimejibu/Nimeeleza ulichotaka, Kama sivo ULIZA TENA.
Mtumishi kuwa katika Roho hakumaanishi kiwa katibu na Mungu. Hii ni pale ambapo mwili wako wa damu na nyama unakuwa hauna nguvu/nafasi na Roho yako inakuwa na nguvu na kuwasiliana na muumba wako. Mfano Daniel aliletwa Maono mto Urai na akawa kama mfu hii unamaana shughuli za mwili zilikuwa na Roho ilikuwa active. Hii ilimtokea hata Nabii Ezekiel pia.
 
Mwanadamu gani? Mwafrika, mzungu, muarabu, muhindi, mwanamke, mwanaume, au?
Regardless ya rangi, jinsia, uneneo, ufupi,wembamba, urefu n.k utambulisho wa mwanadamu unabaki kuwa wa kipekee na hiyo ndio "image" ya mwanadamu. Manabii waliotokewa na onana na Malaika walikuja kwao kwa mfano wa mwanadamu.
 
Kwanza na declair interest mimi ni Mkristo na nitatumia Biblia, maandiko mbalimbali ya kikristo, wanatheolojia mbalimbali, maono mbalimbali ya kikristo na yangu Binafsi kuhusu Mungu na kufanana na mwanadamu/Mtu.

NENO: MWANZO 1:26-28 Mungu anasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu. Hapa aliongea na watoto wake wa kimbingu kabla ya uumbaji wa mwanadamu. Wana aliokuwa anaongea nao ni viumbe wa kiroho yaani malaika, maserafi, makerubi n.k. Ukisoma Biblia watumishi wa Mungu waliowahi Kutana na malaika walikuwa na sura (Image) na maumbo ya kibinadamu(Image) na sio wanyama.

Watumishi wa Mungu manabii na mitume waliobahatika kumuona Mungu alijifunua kwao kama (Image) mtu/mwanadamu Toka Isaya, Daniel tena alimuona "kama mzee wa siku" hadi Nabii Yohana walimuona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu"(Image)

Hata mimi binafsi nishawahi muona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu (Image)

Kwa hiyo, Mungu anafanania (Image) mwanadamu na hii ipo wazi kwani kabla ya anguko la mwanadamu. Mwanadamu alikuwa mtawala wa dunia na Mungu alimpa atawale kama ambavyo yeye anatawala Mbinguni na hata mwanaye wa pekee a.k.a mwana wa Mmiliki alikuja na kukaa duniani kwa Image kama mwanadamu.

Mkuu umenibariki kwa haya madini. Mada imeisha
 
Mtumishi kuwa katika Roho hakumaanishi kiwa katibu na Mungu. Hii ni pale ambapo mwili wako wa damu na nyama unakuwa hauna nguvu/nafasi na Roho yako inakuwa na nguvu na kuwasiliana na muumba wako. Mfano Daniel aliletwa Maono mto Urai na akawa kama mfu hii unamaana shughuli za mwili zilikuwa na Roho ilikuwa active. Hii ilimtokea hata Nabii Ezekiel pia.

Umemaliza mada mtumishi
 
YALE YOTE YANAYOAFIKIANA NA QUR AN NIYA KWELI NA YANAYOPINGANA NAYO NIYA WANADAMU

MUNGU HAFANANI NA MWANADAMU

Kwa nini kipimo kiwe quran? Ni wazi kwamba vitabu vyote vimeandikwa na wanadamu ikiwemo quran na katika mizania ya vipimo kama quran imekuja baada ya vitabu vingine tunaipima kwa kuangalia vitabu vilivyoitangulia na sio kutumia quran kama msingi wa kipimo
 
Ni kweli mtumishi Mungu anafanana na mwanadamu kiroho japo Roho nayo ni mtu. 2 Korintho 4:16.

Mwanadamu ni image ya Mungu na hili linaonekana tu kwa wanadamu wote. Hata kama ni mfupi, mrefu, mweusi, mweupe tuna mfano mmoja wa kisura na kimaumbile.
Hujambo!

2 Wakorintho 4:16
"Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku."

Na ndio alichomaanisha, na tumfanye mtu kwa mfano wetu na sura yetu.. Yaani huo utu wa ndani.. au kwa kiswahili cha moja kwa moja inafaa useme NA TUIFANYE ROHO (Maana huo ndio mfano kamili wa Mungu, na hiyo ndio sura/muonekano wake)..

Muonekano huu wa ndani, upo sawa kwa kila mwanadamu licha ya kutofautiana sura (wapo wenye sura pana, nyembamba, za duara, mchongoko, n.k) umbo, kimo, n.k

Utu wa nje ni huu mwili wa ndani, huu unachakaa na kuchoka na utabaki hapahapa duniani.

Utu wa ndani ni ROHO ZETU, hizi zitaishi milele, aidha kwenye Moto wa milele kwa zile roho ambazo zilikataa kumtii Muumbaji, au mbinguni kwa zile Roho zilizomtii Mungu.

Kiufupi Sana, mwanadamu nafsi iliyo hai, inaundwa na Mwili wa nyama (Utu wa nje/Unaoonekana) na Roho (Utu wa ndani/Usionekana kwa macho ya Mwilini.)
 
Mtumishi kuwa katika Roho hakumaanishi kiwa katibu na Mungu. Hii ni pale ambapo mwili wako wa damu na nyama unakuwa hauna nguvu/nafasi na Roho yako inakuwa na nguvu na kuwasiliana na muumba wako. Mfano Daniel aliletwa Maono mto Urai na akawa kama mfu hii unamaana shughuli za mwili zilikuwa na Roho ilikuwa active. Hii ilimtokea hata Nabii Ezekiel pia.
Soma Tena nilichoandika.

Wewe umewahi kuwa katika Roho? KAMA umewahi kuwa katika Roho basi bila shaka unafahamu UKARIBU ninaomaanisha si wa kimwili (Physically).

Au ngoja nijaribu hivi.. Je, Kuna umbali katika maombi?

Isaya 6:1-3
"Katika mwaka ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza hekalu.
Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.
Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake."

Happy juu Maandiko matakatifu yanatueleza kupitia kinywa cha nabii Isaya mwana wa Amozi juu ya kuitwa kwake Kumtumikia Mungu, Kwanza tutambue hapa ni Mungu Mwenyewe ndiye aliye anzisha mazungumzo haya, hivyo nabii Isaya bado alikuwa mchafu (Ukisoma sura hii utaelewa zaidi, hasa kwa msaada wa Roho wa Mungu).

Basi nabii Isaya anasema ALIMWONA BWANA AMEKETI KATIKA KITI CHA ENZI, Tujiulize, Je unaweza ukamuona mtu kwa uzuri namna hiyo KAMA UKO MBALI NAYE?, Jibu NI HAPANA, LAZIMA MUWE KARIBU... NA HAPA NABII ISAYA ALIKUWA DUNIANI, WAKATI KILE KITI CHA ENZI KIPO JUU SANA KIMEINULIWA, HIVYO BASI LICHA YA KUWA DUNIANI PIA ALIKUWA KATIKA ROHO, HIVYO HAKUKUWA NA UMBALI WOWOTE BAINA YAO.

Nabii Isaya anaendelea kwa kusema, ALISIKIA MASERAFI WAKIITANA KILA MMOJA NA MWENZAKE, WAKISEMA MTAKATIFU MTAKATIFU MTAKATIFU NI BWANA MUNGU WA MAJESHI.... Tujiulize, Je ILIKUWAJE AKAWASIKIA VIZURI NAMNA HII KAMA ALIKUWA MBALI? Bila shaka alikuwa karibu ndio maana AKAWASIKIA VIZURI..

Hivyo Basi kwa picha hii MTU AKISEMA KUWA KIROHO NI KUWA KARIBU NA MUNGU (Kwa kuona na Kusikia) anakuwa Yuko sawa? Kumbuka hatumaanishi kuwa karibu kimwili..

Karibu ndetefyose ndetefyose na wengineo.
 
Kwanza na declair interest mimi ni Mkristo na nitatumia Biblia, maandiko mbalimbali ya kikristo, wanatheolojia mbalimbali, maono mbalimbali ya kikristo na yangu Binafsi kuhusu Mungu na kufanana na mwanadamu/Mtu.

NENO: MWANZO 1:26-28 Mungu anasema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu. Hapa aliongea na watoto wake wa kimbingu kabla ya uumbaji wa mwanadamu. Wana aliokuwa anaongea nao ni viumbe wa kiroho yaani malaika, maserafi, makerubi n.k. Ukisoma Biblia watumishi wa Mungu waliowahi Kutana na malaika walikuwa na sura (Image) na maumbo ya kibinadamu(Image) na sio wanyama.

Watumishi wa Mungu manabii na mitume waliobahatika kumuona Mungu alijifunua kwao kama (Image) mtu/mwanadamu Toka Isaya, Daniel tena alimuona "kama mzee wa siku" hadi Nabii Yohana walimuona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu"(Image)

Hata mimi binafsi nishawahi muona "mmoja aliye mfano wa Mwanadamu (Image)

Kwa hiyo, Mungu anafanania (Image) mwanadamu na hii ipo wazi kwani kabla ya anguko la mwanadamu. Mwanadamu alikuwa mtawala wa dunia na Mungu alimpa atawale kama ambavyo yeye anatawala Mbinguni na hata mwanaye wa pekee a.k.a mwana wa Mmiliki alikuja na kukaa duniani kwa Image kama mwanadamu.
Hahahahah.

Nakukaribisha Sana Mkuu, ila uandishi Kama huu hata shetani huwezi kumshinda, maana anaijua vema Biblia Takatifu.

Rudia tena kwa kuongezea vifungu mbalimbali vya kusapoti maelezo yako, ukifanya hivyo INAKUWA RAHISI HATA KWA YULE AMBAYE SI MWAMINI KUELEWA na KUAMINI.
 
Kwa nini kipimo kiwe quran? Ni wazi kwamba vitabu vyote vimeandikwa na wanadamu ikiwemo quran na katika mizania ya vipimo kama quran imekuja baada ya vitabu vingine tunaipima kwa kuangalia vitabu vilivyoitangulia na sio kutumia quran kama msingi wa kipimo
HII QUR AN LEO HII AJE MTU KUTOKA POPOTE DUNIANI ATAKUSOMEA QUR AN HII HII TUNAYOISOMA TZ

KITU AMBACHO HUWEZI KUKIPATA KWENYE INJILI AMA TORATI YA LEO KILA TAIFA KIVYAKE KITABU KILICHOBAKI SALAMA NI QUR AN PEKE YAKE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom