Je, mtu mwenye H I V anaweza kutimiza ndoto zake???

Hhahah nimecheka sana baada ya kusoma hii post kuna HIV ya hofu huu ni hatari sana imenitesa mno hii mpaka pale nilipochukua maamuzi ya kwenda pima Na kujua afya yangu ndipo hofu Na mashaka yalitoweka Na afya yangu ikatengamaa mpaka kesho..
Ushauri wangu nenda kapime acha kuishi kwa hofu itakupa wakati mgumu sana hivo nenda kacheki afya yako achana Na hizi hofu Nina hakika Ni mzima wa afya apo ulipo
Amina na uzima uwepo km ulivyosema namshukuru sana kwa kunitia moyo.
Ngoja kipindi cha mpito kiishe nikapime tena!!
Ahsante kwa ushauri wako mkuu.
 
Amina na uzima uwepo km ulivyosema namshukuru sana kwa kunitia moyo.
Ngoja kipindi cha mpito kiishe nikapime tena!!
Ahsante kwa ushauri wako mkuu.
Usijal mkuu wewe Ni mzima wa afya huo woga ndo unakupa Ayo mashaka yani mimi sasa ilikuwa balaaa nilikuwa nikiona sehemu wameelezea kuhusu dalili flani ya HIV yani nahesabu masaa tu naanza iona kwangu sijui kuna uhusiano gani Na hili jambo nimeteseka sana kuna siku nikasema liwalo Na liwe nikajilipua sikuamini aseh nilienda pima mara 4 kuthibitisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwi si hatari tena,mtu mwenye hatari zaidi ni mwenye kisukari ukimwi si ugonjwa wa kutisha tena.nakumbuka miaka zaidi 30 iliyo pita nilionyeshwa waathirika lakini mbaka leo bado wapo du hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio inawezekana,hyo itategemea na age uliyoupata ugonjwa,viral loads,ART use na immunity status yako....unaweza pata HIV Leo na ukaishi miaka had 20 from now,je hapo ndoto hazitimii kama umeupata ukubwani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau nisaidieni, Je mtu mwenye HIV positive anaweza kutimiza ndoto zake za kitaaluma na kuendelea na maisha??
Mfano kusoma degree ya miaka minne na kufanya kazi na kuendeleza maisha ,hata kuwa na familia??
Naombeni majibu, Ushauri na hata mifano km ipo!!!
Kijana kapime UKIMWI uanze dozi ya ARV, nimepitia nyuzi zako humu ndani, nimejiridhisha kuwa huenda ukawa umeathirika .

Nenda kapime, anza dozi, maisha yataendelea kama kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One daya AFRIKA tutajuaga ukweli wa hu UGONJWA. na hapo ndo hatutaamini tunachokiamini wengi wao sa hivi
Kuna clip moja niliangalia ya Daktari mmoja anamponda mgunduzi wa Virus vya HIV kuwa ameupotosha umma kwa kuleta hofu kwa wanadamu juu ya ugonjwa huu. Yule dokta akadiriki kusema kuwa HIV haisababishi umimwi ila kinachowauwa wengi ni hofu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu alipoamua kucheza na akili teh...teh unaenda kupima ugonjwa usio na dawa ili ili upewe nn?
 
Back
Top Bottom