CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Wakuu,
Kuna mtu kaniuliza hilo swali. Alikuwa mwalimu,akaondoka kazini bila taarifa,baadae akapokea barua ya kufukuzwa kazi kwa utoro. Je,anaweza kurejea kazini tena?
Kisheria na ki utaratibu imekaaje hii?
Kuna mtu kaniuliza hilo swali. Alikuwa mwalimu,akaondoka kazini bila taarifa,baadae akapokea barua ya kufukuzwa kazi kwa utoro. Je,anaweza kurejea kazini tena?
Kisheria na ki utaratibu imekaaje hii?