Andrew Zephania Mbwilo
New Member
- Jun 17, 2020
- 1
- 0
Samahani jamani kuna ndugu ang, kafelishwa na mwalimu fulani, alikuwa anasoma clinical medicine, ndo kwanza alikuwa semister ya kwanza, je anaruhusiwa kuomba tena?
Acha utani mkuu,kama umefeli umefeli tu,usitafute chaka la kujifichia.Samahani, jamani, kuna ndugu ang, kafelishwa na mwalimu fulani, alikuwa anasoma clinical medicine, ndo kwanza alikuwa semister ya kwanza, je anaruhusiwa kuomba tena,??..
Huyo atauwa wagonjwa ,afungue mpesa ,tigo pesa ,airtel money etc.Samahani jamani kuna ndugu ang, kafelishwa na mwalimu fulani, alikuwa anasoma clinical medicine, ndo kwanza alikuwa semister ya kwanza, je anaruhusiwa kuomba tena?