Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,393
- 79,610
Sawa mwanasheria msomi.Kwanza ieleweke mali ulizomkuta nazo mumeo huna haki nazo,ila mali uliyoanza kuchuma ukiwa nae hizo 100% unayo haki nazo.
Ni utashi tu wa mwanaume kukumegea mali hata ulizomkuta nazo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app