Elections 2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2010-2015?

  • Jakaya Mrisho Kikwete (CCM)

    Votes: 591 23.9%
  • Willibrod Slaa (CHADEMA)

    Votes: 1,785 72.1%
  • Ibrahim Lipumba (CUF)

    Votes: 89 3.6%
  • Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi)

    Votes: 7 0.3%
  • Mutamwega Mugahywa (TLP)

    Votes: 7 0.3%

  • Total voters
    2,475
  • Poll closed .
Kelly, cha msingi ni kuuliza swali kuwa watafanya nini cha tofauti,hilo swali ni muhimu sana...Awe ambaye ni popular ama la,cha msingi ni swali hilo alilolimwa JK,ni kipi watafanya cha tofauti? Unless umeridhika na mwenendo wa nchi toka tupate uhuru....Then the next thing utamwuliza sheick Yayha...Cha muhimu nilichokuwa nikisisitizia ni kwamba tuwapime kwa vigezo vya kile watakachoifanyia nchi na si nchi itakachowafanyia,personalities,gender nk hayo ni afterwards.

Jmushi...Mimi simuongelei JK sasa...as far as i know Jk hakuna chochote atakachofanya...nilisikiliza sana lile swali aliloulizwa na Isha Sesay na akashindwa kujibu na siyomara moja several time...
Nachoongelea sasa ni kufikiria mtu mwingine ambaye we think can do better than huko tulipotoka (back in years)...mtu amabye thinking capacity yake ni kubwa na yupo motivated kuchange sura ya Tanzania awe na Nia.....

Na ndiyo maana nikaja na suala la gender maana tumeongozwa na maraisi wa kiume na hakuna any changes.Kwa mtazamo wangu labda tuanze kufikiria na wanawake pia...hivi unajua sisi wanawake tunafikiria mbali sana kuliko nyie wanaume..though najua hamtakubaliana na mimi ila you need to think about it.
Wee chukua mifano ya makazini na maboss wa kike.
 
Jmushi...Mimi simuongelei JK sasa...as far as i know Jk hakuna chochote atakachofanya...nilisikiliza sana lile swali aliloulizwa na Isha Sesay na akashindwa kujibu na siyomara moja several time...
Nachoongelea sasa ni kufikiria mtu mwingine ambaye we think can do better than huko tulipotoka (back in years)...mtu amabye thinking capacity yake ni kubwa na yupo motivated kuchange sura ya Tanzania awe na Nia.....

Na ndiyo maana nikaja na suala la gender maana tumeongozwa na maraisi wa kiume na hakuna any changes.Kwa mtazamo wangu labda tuanze kufikiria na wanawake pia...hivi unajua sisi wanawake tunafikiria mbali sana kuliko nyie wanaume..though najua hamtakubaliana na mimi ila you need to think about it.
Wee chukua mifano ya makazini na maboss wa kike.

Nakubaliana na wewe kuwa tufikirie kuhusu wanawake pia kwa namna nzuri ie kuwapa Urais,lakini cha muhimu nadhani kitakacholeta mabadiliko ni ideas na si personalities ama gender....Akilulizwa swali kuwa atafanya nini cha tofauti akajibu inavyotakiwa then hiyo ndiyo point bila kujali jinsia yake....Wakati wa kuchagua kiongozi kuna sifa na vigezo vinavyowekwa,kwani kuna mahali mwanamke amekatazwa kuwa rais? So cha muhimu ni constructive ideas from the person who wants to be a president...Nini cha tofauti atakachokifanya? Ama sisi kufanya tofauti na kumchaguwa mwanamke ndo solution?
 
Hoja nzito sana na tupo pamoja.

Maandalizi yameanza kwa ajili ya awamu ya tano.

There we go,feminism,kwa hiyo mnaamini kabisa kuwa tatizo ni raisi manamume na solution ni rais mwanamke? Idea positive za ujenzi wa nchi zinatofautianaje btn men and women?
 
There we go,feminism,kwa hiyo mnaamini kabisa kuwa tatizo ni raisi manamume na solution ni rais mwanamke? Idea positive za ujenzi wa nchi zinatofautianaje btn men and women?


Ndugu Mushi, asante sana kwa hoja yako nzuri na nzito.

Naomba ufahamu kuwa wanawake na wanaume wanatofautiana katika ideas positive za ujenzi wa nchi.

Muda utakapofika, nitajibu hoja yako kikamilifu.



Ahsante.
 
Nakubaliana na wewe kuwa tufikirie kuhusu wanawake pia kwa namna nzuri ie kuwapa Urais,lakini cha muhimu nadhani kitakacholeta mabadiliko ni ideas na si personalities ama gender....Akilulizwa swali kuwa atafanya nini cha tofauti akajibu inavyotakiwa then hiyo ndiyo point bila kujali jinsia yake....Wakati wa kuchagua kiongozi kuna sifa na vigezo vinavyowekwa,kwani kuna mahali mwanamke amekatazwa kuwa rais? So cha muhimu ni constructive ideas from the person who wants to be a president...Nini cha tofauti atakachokifanya? Ama sisi kufanya tofauti na kumchaguwa mwanamke ndo solution?

Jmushi i got you and i know what you are tying to say..lakini kwanza si huwa anateuliwa mtu kw akuangalia sifa zake ...ok then huyo mtu then analeta sera zake kama we think ZIPO Constructive enough an tunaona kuwa zinaleta mabadilko na ni to fauti na zilizopita then we vote for him.

Najua mwanamke hajakatazw akuwa raisi ila naona its about time mmoja akapendekezwa...though inasemekana kuwa jK bado atagombea CCm lakini si kuna vyama vingine? anawez akutokea mwanamke utoka chama kingine na yeye akaja na sera yake A--B-C....you never know miracle might happen aka beat CCM.....
 
Ndugu Mushi, asante sana kwa hoja yako nzuri na nzito.

Naomba ufahamu kuwa wanawake na wanaume wanatofautiana katika ideas positive za ujenzi wa nchi.

Muda utakapofika, nitalijibu hiha yako kikamilifu.



Ahsante.

Nitashukuru sana Mama.
 
Ndugu Mushi, asante sana kwa hoja yako nzuri na nzito.

Naomba ufahamu kuwa wanawake na wanaume wanatofautiana katika ideas positive za ujenzi wa nchi.

Muda utakapofika, nitalijibu hiha yako kikamilifu.



Ahsante.

I second you mama!.....na nimemwambia jmushi hivyo hivyo kuwa wanawake wana-think ahead ya wanaume na tupo smarter than them....hi5!!!
 
Kelly nilijuwa thats where you guys are tyring to go,ok acha niwe na subra ili munieleweshe.
 
Tupo tayari kwa mapambano na watu sampuli yako.

Mabadiliko kuendea maendeleo na maisha bora kwa kila Mtanzania yataletwa na kina Mama.

Mama are you a homophrodite? or something like that.....nauliza tu ili nije na swali lingine...
 
In all seriousness....sidhani kama mgombea mwanamke atafika mbali. Kikwazo kitakuwa wanawake wenzake! Atatokea mgombea mwanamme ambaye wanawake watadhani ni 'handsome' na watapagawa.

Angalia Hillary....wanawake wenzake ndio walikuwa kikwazo. Badala ya kuangalia hoja alizokuwa akitema Mama wa watu wakabaki kukosoa pant suits zake...mara ooh mumewe hivi....mara ooh...I can't stand that what rhymes with witch....mara ooh I just can't stand her coz she's mean looking...mara wakawa wana criticize make up zake...n.k.

I was very disappointed in the way other women treated Hillary. Hawakuonyesha solidarity hata kidogo. Akaja Mama Palin..wakaanza...wanawake hao hao...eti ooh...huyu atawezaje kulea familia na akawa makamu wa raisi wakati huo huo. Shameful. Ooh eti ana watoto watano....ala...ooh mara eti ni Diva....yaani upuuzi mtupu!

Kuja Obama...aaah...we acha tu. Mademu walikuwa wanazimia literally...wengine hadi wana-fantasize kufanyana naye. Hehehehe...vichekesho mtupu.

Objectively speaking...Mama won nearly every debate they had.

Oh....well...we shall see. But adui wa mwanamke ni mwanamke.
 
Back
Top Bottom