KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Kwa hiyo kwa maoni yako suluhu ni kukubali kuendelea "kulazimishwa kutii" milele?Utaanzaje kumhoji mtu aliyeshika silaha na anakulazimisha umtii?
Wananchi sio wajinga.
Ukimtesa mtu unatesa na mke wake, watoto wake, na ndugu zake wasio na hatia.
Hawa wanaotesa wenzao ndiyo hawatumii akili, sio wananchi wasio na hatia ambao baadhi ni 'malaika' wasiojua hata kusema.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Ingekuwa hivyo si basi tungekuwa bado wakoloni tunao hapa au?