Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,804
- 93,571
Ipo KatoroHivi kuna togwa ya mbege?
Ipo KatoroHivi kuna togwa ya mbege?
Vita yoyote humalizwa kwa njia ya mazungumzoToka 1992 hali ni hiyo hiyo. Kuna siku itafika mwisho. Wapo waliokuwa makatili kuliko hata hawa ccm. Sasa wanasomwa kwenye historia
Huko alipo anakung'atia meno. anaona unamvurugia dili lake.Ni lini Msajili wa vyama alikaa na IGP wakapanga kuwepo kwa kikao Cha IGP na vyama vya siasa?
Nani aliyeandaa agenda za kikao hicho?
Ni vyama vipi vilifika kwa msajili kuomba kuwepo kikao Kati ya IGP na vyama hivyo?
Hiki kikao kipo chini ya sheria gani? Maamuzi ya kikao hicho yatatekelezwa kwa sheria gani na yasipotekelezwa na upande mmoja yatakuwa na athari gani?
Je ipo sheria yakuzuia shughuli za kisiasa kusubiri IGP akae kikao na vyama vya siasa?
Siyo kosa Lao au lrtu Bali ni ukosefu wa elimi ya uraia. Muulize Anna Tibaijuka wakati ule alipoanzisha bawata, na kutaka Kuanzisha Elimu ya uraia. Kilichofuata ni nini?. Hakika tuna safari ngumu na ndefu. Wengine wanajita ni mamba na safari haiwahusu Bali ni ya kenge pekee mwisho wa siku mamba wanageuka kuwa kenge na wenyewe.Haya mambo yako hivi, mbona ni rahisi kuyaeleza na kuyaelewa?
Tabia mbovu sana tuliyonayo waTanzania ni kutohoji chochote kinachosemwa na viongozi hawa wa ngazi za juu. Tunachukulia kama ni sheria kwa kila tamko linalotolewa na hawa viongozi, hata kama tamko lenyewe linapingana na sheria zilizopo.
Rais akisema kitu chochote, hiyo ni amri, hata kama amri hiyo inakiuka sheria!
Ndiyo maana, hata hawa waliopo ngazi za chini, wanachukulia matamko yao ni kama sheria, hawategemei kuhojiwa kwa matamko hayo.
Na ukiwauliza wananchi wengi watakwambia huwezi kushindana na serikali, hata kama serikali hiyo inakanyaga haki zako
Mtungi alipoyasema hayo, yeye alijua ametoa maagizo ambayo hayatakiwi yahojiwe na mtu yeyote, pamoja na kwamba matamko yake yanakiuka taratibu.
IGP na wasaidizi wake, ni mara ngapi umesikia wakitamka maagizo yao kuwa ndiyo sheria, huku maagizo yakiwa yanakinzana na sheria zenyewe!
Na ubaya zaidi, hakuna hata mmoja wetu aliyechukua wajibu wa kwenda mahakamani ili uamzi utolewe kuhusu uhalali wa maagizo yanayotolewa kiholela tu na kuwa kama ndizo sheria zenyewe.
Wananchi wanaridhika kabisa; kwa sababu hawahoji chochote.
Huwa kuna walioruhusiwa kupiga wenzao mabomu,risasi au kuwafunga bilaHaya tumieni nguvu lakini watakaoumia ni wapinzani, watapigwa mabomu, kuwekwa mahabusu, risasi au kufungwa kabisa.
Kiufupi jibu hakunaNasubiri jibu
watu wanauliwa wanavunjwa miguu, nenda kwenye vituo vyao uone watu wanavyopigwa kama punda mpaka Rais kaliona hilo juzi kasema, upelelezi kwao ni kupiga hakuna kingineHuwa kuna walioruhusiwa kupiga wenzao mabomu,risasi au kuwafunga bila
utaratibu?.Sheria zetu zinaelekeza hivyo?
Ni kitu kizuri sn hichoKuna wakati unafika, suala la makubaliano kama nchi ni la muhimu kuliko uweledi wa kuongozwa kama nchi. Nnaloliona kinachotafutwa ni utengamano wa kisiasa ndio kinachotafutwa.
Vita yoyote humalizwa kwa njia ya mazungumzo
Mkuu polisi wameshika mpini na ww umeshika makali sijui nani ataumia?Mazungumzo ya vyama vya upinzani na polisi? Seriously?
Wewe unaamini polisi wanaamua wenyewe kupiga na kuvuruga shughuli za wapinzani? Kwamba wanaweza kushawishiwa waache hiyo roho mbaya?
Naona siku mbwa wa jirani akikung’ata utataka “mazungumzo” na huyo mbwa badala ya mmiliki wake. Btw, Sirro na Mutungi ni dugu moja.
watu wanauliwa wanavunjwa miguu, nenda kwenye vituo vyao uone watu wanavyopigwa kama punda mpaka Rais kaliona hilo juzi kasema, upelelezi kwao ni kupiga hakuna kingine
Utaanzaje kumhoji mtu aliyeshika silaha na anakulazimisha umtii?Haya mambo yako hivi, mbona ni rahisi kuyaeleza na kuyaelewa?
Tabia mbovu sana tuliyonayo waTanzania ni kutohoji chochote kinachosemwa na viongozi hawa wa ngazi za juu. Tunachukulia kama ni sheria kwa kila tamko linalotolewa na hawa viongozi, hata kama tamko lenyewe linapingana na sheria zilizopo.
Rais akisema kitu chochote, hiyo ni amri, hata kama amri hiyo inakiuka sheria!
Ndiyo maana, hata hawa waliopo ngazi za chini, wanachukulia matamko yao ni kama sheria, hawategemei kuhojiwa kwa matamko hayo.
Na ukiwauliza wananchi wengi watakwambia huwezi kushindana na serikali, hata kama serikali hiyo inakanyaga haki zako
Mtungi alipoyasema hayo, yeye alijua ametoa maagizo ambayo hayatakiwi yahojiwe na mtu yeyote, pamoja na kwamba matamko yake yanakiuka taratibu.
IGP na wasaidizi wake, ni mara ngapi umesikia wakitamka maagizo yao kuwa ndiyo sheria, huku maagizo yakiwa yanakinzana na sheria zenyewe!
Na ubaya zaidi, hakuna hata mmoja wetu aliyechukua wajibu wa kwenda mahakamani ili uamzi utolewe kuhusu uhalali wa maagizo yanayotolewa kiholela tu na kuwa kama ndizo sheria zenyewe.
Wananchi wanaridhika kabisa; kwa sababu hawahoji chochote.
Mkuu polisi wameshika mpini na ww umeshika makali sijui nani ataumia?
Ndiyo ujue hali ni mbaya zaidiViongozi wakuu serikalini wote wanajua kinachoendelea polisi - miaka nenda, miaka rudi. Na ndio mkakati wao: wananchi wawe na hofu na jeshi la polisi; wasithubutu “kuichezea” serikali.
Hizo kauli kwenye media ni za kisiasa kuwapumbaza wanyonge. Polisi wataendelea kuwa hivyo hivyo kwa kadri watawala wanavyokuwa na “blank cheque” ya kufanya chochote nchini bila kuhojiwa. Polisi ndiyo fimbo yao dhidi ya waleta “chokochoko”.
Ndiyo ujue tuna katiba ya hovyo kabisa, Rais wa S.A mwaka huu aliitwa kuhojiwa na polisi kwa matumizi mabaya ya fedha za umma, huku wanaweza hata kumuhoji DC?Simple logic.
Polisi WANATUMWA kukupiga na kukuvunja miguu. Wakitumwa hakuna utakachowaambia wakuelewe. Jaribu kuongea na mbwa anayekufukuza akuume badala ya kuongeza kasi kumkimbia.
Ukitaka polisi wasikupige, tii sheria bila shuruti. Hakikisha pia unatii bila kuhoji maagizo yote yanayotolewa na Rais na viongozi wa serikali. Ukifanya hivyo polisi watakupita kama vile hawakujui.
Police ni “law enforcers”. Hapa kwetu pia ni enforcers wa maagizo ya Rais ambayo ni juu ya sheria na katiba. Utajadiliana nao kwa ajenda ipi?
Haya tumieni nguvu lakini watakaoumia ni wapinzani, watapigwa mabomu, kuwekwa mahabusu, risasi au kufungwa kabisa.
kuhusu uhuru muda wa wakoloni kutawala uliisha kulingana na mikataba ya kimataifa, ndiyo maana unaona hakuna nchi inayotawaliwa tena. Kati ya wote Madela pekee yake ndiyo alipata shida wengine utadanganywaView attachment 1927597
Hivi hao jamaa wangeendekeza ubinafsi na uoga wa kiwango hata robo ya chako, sijui wewe ungekuwa wapi?
Pole sanakuhusu uhuru muda wa wakoloni kutawala uliisha kulingana na mikataba ya kimataifa, ndiyo maana unaona hakuna nchi inayotawaliwa tena. Kati ya wote Madela pekee yake ndiyo alipata shida wengine utadanganywa