Acha dharau wewe, unataka kusema mikoa mingine hakuna hiyo QUALITY mnayoitaka? Yaani karne hii ya ishirini na moja mnatupakia kwenye gari la ukabila harafu mnataka mpewe nchi kwa kura????? Hii itakuwa ngumu kwenu bana!
Mkuu hapa pana ujanja, nguvu ya umma ina manufaa zaidi kwa wengine