Nakuunga mkono KK. CDM iajipaka matope chenyewe badala ya kusubiri kipakwe matope na opponents. Walichofanya siyo rahisi kuelewekaIs an option lakini kama ni hivyo kwani kuna uharaka gani??kwakuwa sheria sawa na za mbunge wa kuchaguliwa!!mbona wakuchaguliwa inachukua hata miezi??sasa kwa mbunge wa viti maalumu wiki??hapana hata ndugu wamarehemu tukienda kwenye arobaini watatunyoshea vidole!!kwa hili sitaacha kusema!
Kwani kaskazini Sio Tanzania?
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu! Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita?? Kwa nini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa ni chama cha kanda ya Kaskazini??
Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!
Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
unajua namna wabunge wa viti maaalum wanavopatikana kiseria au unaharisha tu?? hii dhambi ya kutenga watu wa kasakazini itawatafuna muda si mrefu. pia haijalishi mtu katoka wapi jadili uwezo wake na jadili njia iliyotuma kumpata sio umjadili kwa kuwa anatoka kaskazini, kwani kaskazini sio Tanzania?? kaskazini lazima tuwapongeze na kuwaiga ndio chachu ya mageuzi na sasa tuisambaze nchini kote na sio kuwatenga na kuwabagua kwa ukandaNi ujinga kutetea kitu ambacho unajua kabisa kinakumaliza na unaendelea kukifanya...hii harufu ya ukaskazini ipo ata kama tunakipenda vipi chadema,cha muhimu ni kuona namna ya kuiondoa machoni mwa watu.
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu! Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita?? Kwa nini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa ni chama cha kanda ya Kaskazini??
Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!
Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
Siyo ulichosikia, huo ndio utaratibu ulivyo na haujaanza leo, kumbuka hata Geturde Lwakatare aliingia bungeni baada yakifo cha Salome Mbatia, na yeye katika ile orodha jina lake ndio lilikuwa linafuatia.
Nilichokisikia ni kwamba uteuza utafuata orodha iliyoko tume ya taifa ya uchaguzi na siyo kuitisha uchaguzi mpya,kama kwenye orodha hiyo baada ya mtu wa mwisho ni huyo wa karatu tatizo nini?
Is an option lakini kama ni hivyo kwani kuna uharaka gani??kwakuwa sheria sawa na za mbunge wa kuchaguliwa!!mbona wakuchaguliwa inachukua hata miezi??sasa kwa mbunge wa viti maalumu wiki??hapana hata ndugu wamarehemu tukienda kwenye arobaini watatunyoshea vidole!!kwa hili sitaacha kusema!
Ni ujinga kutetea kitu ambacho unajua kabisa kinakumaliza na unaendelea kukifanya...hii harufu ya ukaskazini ipo ata kama tunakipenda vipi chadema,cha muhimu ni kuona namna ya kuiondoa machoni mwa watu.
Kwani kaskazini Sio Tanzania?
Dr. Slaa anatoka Karatu, nyie watu wa Mtwara, Ruvuma, Pemba CDM haiwahusu nendeni CUF na CCM
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu! Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita?? Kwa nini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa ni chama cha kanda ya Kaskazini??
Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!
Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
hapa CHADEMA ilitakiwa kutumia mwanya wa kujijenga katika mikoa mingine ambayo haina wabunge kama ya kusini na singida, zanzibari na Pemba. hapo ungepanda mbegu nzuri sana na mavuno mengi ungeyavuna. inaonesha kwa jinsi gani ubunge unavyotafutwa kinguvu, . Maiti hata hajafikisha arobaini, watu washepiga kampeni ya kuomba nafasi hiyo! Chadema acha uregionalism!
Kweli mapenzi upofu; ukipenda ..hata pengo utasema mwanya. WAKE UP WEWE