KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu! Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita?? Kwa nini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa ni chama cha kanda ya Kaskazini??
Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!
Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!
Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!