Je Mrithi wa Regia ilikuwa lazima atoke kasikazini??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu! Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita?? Kwa nini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa ni chama cha kanda ya Kaskazini??

Na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia! Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!

Kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!! Kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
 
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu!Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita??kwanini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa nichama cha kanda ya Kaskazini??na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia!Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!!kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
Mkuu KK samahani kidogo, kwani sheria inasemaje kuhusu muda wa kupatikana kwa mbunge mwingine? inawezekana sheria ndio inataka hivyo?
 
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu!Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita??kwanini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa nichama cha kanda ya Kaskazini??na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia!Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!!kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!

mkuu, issue ni uharaka, utaratibu wa ku-replace mbunge au alipotoka? Ipo hoja hapa, lakini umeweka mambo mengi mno sehemu moja kiasi kwamba hoja inataka kulegezwa na suggestion zako.

Sijui taratibu cha CDM katika ,swala kama hili, kama utaratibu upo wazi, basi hakuna problem. Hawawezi kubadilisha taratibu kila wakati ili kufurahisha kikundi cha watu. Lakini kama taratibu zingeweza kupata kichwa kutoka sehemu tajwa hapo juu basi watakuwa wamekosea ..........lakini..... issue hapa sio mtu kutoka sehemu fulani, issue ni je, huyo mtu ni kichwa?
 
Mkuu KK samahani kidogo, kwani sheria inasemaje kuhusu muda wa kupatikana kwa mbunge mwingine? inawezekana sheria ndio inataka hivyo?
Is an option lakini kama ni hivyo kwani kuna uharaka gani??kwakuwa sheria sawa na za mbunge wa kuchaguliwa!!mbona wakuchaguliwa inachukua hata miezi??sasa kwa mbunge wa viti maalumu wiki??hapana hata ndugu wamarehemu tukienda kwenye arobaini watatunyoshea vidole!!kwa hili sitaacha kusema!
 
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu!Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita??kwanini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa nichama cha kanda ya Kaskazini??na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia!Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!!kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!
Tupe source ya hii inf
 
mkuu, issue ni uharaka, utaratibu wa ku-replace mbunge au alipotoka? Ipo hoja hapa, lakini umeweka mambo mengi mno sehemu moja kiasi kwamba hoja inataka kulegezwa na suggestion zako.

Sijui taratibu cha CDM katika ,swala kama hili, kama utaratibu upo wazi, basi hakuna problem. Hawawezi kubadilisha taratibu kila wakati ili kufurahisha kikundi cha watu. Lakini kama taratibu zingeweza kupata kichwa kutoka sehemu tajwa hapo juu basi watakuwa wamekosea ..........lakini..... issue hapa sio mtu kutoka sehemu fulani, issue ni je, huyo mtu ni kichwa?
Sawa ila kwa nini watumie chaguzi zilizopita kupata mtu wa sasa hivi??na kuwanyima wengine ambao wangeweza kujaza nafasi hiyo??Tunajimaliza wenyewe kwa mafuta yetu!
 
hapa CHADEMA ilitakiwa kutumia mwanya wa kujijenga katika mikoa mingine ambayo haina wabunge kama ya kusini na singida, zanzibari na Pemba. hapo ungepanda mbegu nzuri sana na mavuno mengi ungeyavuna. inaonesha kwa jinsi gani ubunge unavyotafutwa kinguvu, . Maiti hata hajafikisha arobaini, watu washepiga kampeni ya kuomba nafasi hiyo! Chadema acha uregionalism!
 
mmh naomba muongozo kutoka kwa viongozi wangu wa CDM watueleze utaratibu ukoje. Kuhusu watu wengine kutumia kauli chafu ni simple minded!
 
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu!Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita??kwanini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa nichama cha kanda ya Kaskazini??na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia!Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!!kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!

CHADEMA wanaangalia zaidi QUALITY AND NOT QUANTITY. Tulishasema hatumchagui mtu kwa kabila lake wala dini yake na hata anatokea kanda gani. hizo hazina nafasi katika dunia ya werevu. ni mawazo yetu ndo yanauona huo ukaratu but kwangu binafsi naunga mkono ubora wa mtu na si atoka wapi.
 
Sawa ila kwa nini watumie chaguzi zilizopita kupata mtu wa sasa hivi??na kuwanyima wengine ambao wangeweza kujaza nafasi hiyo??Tunajimaliza wenyewe kwa mafuta yetu!
Mkuu umeisoma sheria ya Uchaguzi inayohusisha pia uteuzi wa replacement ya mbunge wa viti maalum?
 
Mods turudishieni LIKE ili tuweze kulinganisha comment za wachangiaji maana ni sasahivi nime like sasa hivi siioni!!au nikutoa maana ya thread??
 
Is an option lakini kama ni hivyo kwani kuna uharaka gani??kwakuwa sheria sawa na za mbunge wa kuchaguliwa!!mbona wakuchaguliwa inachukua hata miezi??sasa kwa mbunge wa viti maalumu wiki??hapana hata ndugu wamarehemu tukienda kwenye arobaini watatunyoshea vidole!!kwa hili sitaacha kusema!

Mkuu, hapa sasa unataka tujadili muda uliotumika sio? Ok, sasa huu ni mtazamo wako, ambao sio lazima uwe sahihi.
Swala la chaguzi kuchukua muda na kulifanisha na teuzi, unakosea sana tu.

Tambua kwamba ni muhimu CDM wa-move fast kwenye kila kitu, uchache wao bungeni unawafanya wabanwe na kazi nyingi. Kumbuka pia kwamba bunge lishaanza....anatakiwa mtu wa ku-cope immediately na sio kungoja 2 months ambazo bunge litakuwa limekwisha.
 

Nilichokisikia ni kwamba uteuza utafuata orodha iliyoko tume ya taifa ya uchaguzi na siyo kuitisha uchaguzi mpya,kama kwenye orodha hiyo baada ya mtu wa mwisho ni huyo wa karatu tatizo nini?
tatizo orodha iliyopelekwa mwanzo ina wakaskazini wengi(wakaratu)
 
Nimesikia mrithi wa Hayati Regia amepatikana kutoka Karatu!Je ilikuwa lazima wapitie kwenye kumbukumbu za chaguzi zilizopita??kwanini hawakufanya uchaguzi mwingine ili kuleta uhalisia wa usawa kwenye chama na kuondoa dhana kuwa nichama cha kanda ya Kaskazini??na ninafikiri ilikuwa vyema wangeenda Zanzibar,Mtwara,Songea,nafikiri wangepata watu wakuwakilisha viti maalumu na kuziba nafasi iliyoachwa na Regia!Hapakuwepo na uharaka kiasi hiki!kwani hata wiki haijaisha tangu marehemu azikwe mimi hapo nimeona kwajicho latatu nimeona kulikuwepo na upungufu!!kwani Jambo hili limepelekwa haraka sana!

Hoja yako nzuri lakini ulipoanza kuzungumzia ''ukanda" umepoteza maana, kumbe ni walewale wanahubiri UKANDA, UDINI na UKABILA. Umetumwa!
 
is an option lakini kama ni hivyo kwani kuna uharaka gani??kwakuwa sheria sawa na za mbunge wa kuchaguliwa!!mbona wakuchaguliwa inachukua hata miezi??sasa kwa mbunge wa viti maalumu wiki??hapana hata ndugu wamarehemu tukienda kwenye arobaini watatunyoshea vidole!!kwa hili sitaacha kusema!
we mbona umekalia ubishi? Regia hakuwa mbunge wa kilombero. Yy alikuwa wa taifa na sheria ipo wazi
jinsi ya kuziba pengo linapotokea. So kama huelewi omba ujulishwe sio kutaka kuchonganisha familia na chama. Uharaka upo. We hujui kwamba sister regia aliacha malengo yenye muda maalum? Je hujui kamati za bunge zipo mzigoni tayari kwa maandalizi ya bunge la februari? Tafiti kabla ya kuleta uchonganishi wako shenz type. Pumbaaaav.
Rip dada regia. Tutapambana kuhakikisha tunawadhiti wale wote watakaojaribu kukutumia kisiasa na kibiashara na pia tutahakikisha tunakamilisha ndoto ulizoziacha mezani.
 
Back
Top Bottom