Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 324
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure.
Je, ikitokea mzalishaji umefariki, mzalishwaji ana haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwa kuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?
Je, ikitokea mzalishaji umefariki, mzalishwaji ana haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwa kuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?