Je, Mpanda Katavi panafaa kwa mtu kwenda kuanzia kutafuta maisha?

Mpanda ndo Mambo yote, hujakosea, nenda ni pazuri sana kibiashara na patakuwa pazuri zaidi kwa sababu Sasa Kuna usafiri wa ndege na barabara ya Mpanda Tabora inajengwa kwa kiwango Cha lami na mpaka mwaka huu mwishoni inaweza ikawa imekamilika, so mambo ya biasharaa na huduma za jamii yatakuwa vzr sana sana, so nenda Mpanda, hutajuta, Ila utajilaumu kwa nn umechelewa kwenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee

Dah ngoja tu niende sina namna kabisa aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepawazia

Nimepawazia sana Katavi. Nina rafiki yangu yupo kule ananiambia ni mjini unaokuwa kwa kasi sana na fursa zipo zakutosha. Mwezi ujao nataka kwenda kujiridhisha mwenyewe kwakufanya research ya wiki mbili tu.
Mimi kwa sababu wadau wamehihakikishia sina cha kupoteza next week nitakwea ndiga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefanya Kazi huko kabla cjahamishwa,,, ila fursa zipo mkuu ukuenda kwa nia ya utafutaji kweli,,,, mfano hasa ungejikita ktk kilimo,,, au ukalangua mazao nyakat za mavuno,,, unapofika wakat wa vyakula kupanda bei,, unapata hela ya maana sana,, au kuima ww mwenyewe kama unaweza,, mashamba kwa wasukuma huko vijijini ni ya kumwaga tu. Ila hata kama huna mpango wa kuwekeza kwa kilimo au mazao maana vinahitaji pia walau mtaji mkubwa,,,, hata fura zingine tu kama vyakuka,, vinywani huduma za miamala n.k,,, ukitafuta site nzur bado utatoboa tu,,, madam maisha c magumu sana kule lkn pia c mepesi kiasi hicho wanavyodhani wengi kama hujiongezi kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee Katavi wakarimu pia wana rami za Formula One kuanzia Tabora hadi Katavi huyu Engineer sijui anatoka Venus?
 
Back
Top Bottom