Sharobaro wa mitandaon unadhan atakubali kukaa vijijini? Na vijijini mpanda so saw a na Vijijini ya Bukoba au Moshi. Unachakaa, unaiva!Ndio mpanda pako safi sana ujikite vijijini ndio poa japo Katavi mjini kuna fursa sana lakini kijijini ndio poa zaidi.