Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
- Thread starter
- #141
Boti za mbao?
Anakutisha bure tuu huyoo, kawaida sanaa...
Na wewe unadanganya mbona? Mjini to Kasekese dk 10? Kufika tuu Nkungwi au Sibwesa karibia 30 au dakika 40 sembuse Kasekese? Pili issue ya treni nayo siyo reliable maana kila mtu anategemea na mizigo ni mingi, mwaka jana watu mahindi yaliharibika yakiwa stesheni.Mkuu uache uongo....umedanganya jamaa Sana
Nipo Katavi kwa Sasa
Kutoka mbeya Hadi Katavi Ni masaa 10 masika,kiangazi masaa 12
Vijijini ulivyotaja...mzee ana mashama kibao
Mjini Hadi Itenka A na B huwa nadrive hardly dk 20
Vijijini vingine vya production Kama kakese Ni dk 10
Mpanda Ina advantage hata a kusafirisha in bulky kwa urahisi kwa gharama ambayo haitofautiani na Moro....nimefanya biashara ya kusafirisha mazao...kutoka wilaya za ndani za Moro na vijiji....mpanda kuna treni ambayo kg 1 unaweza kuta Ni sh 80 wakati sehem nyingine Ni 150
Mpanda mjini biashara Ni kubwa pia ...kwa sababu imekua Kama hub ....mahindi toka Rukwa na ya Mpanda yote yanayoenda Congo na nchi jirani yanatokea Mpanda
Kubwa zaidi Ni Mpunga
Mnaotaka kuja kwa fursa za kilimo msije Sasa....mechelewa
Njooni mwezi wa 6 mashamba hasa ya Mpunga ndio hukodishwa
Mkichelewa inakua ngumu
Huku tren kila likimwaga watu Ni wasukuma
Kahama yooote imehamia MPANDA,na Hawa jamaa wanajenga nyumba nzuri kweli porini
Kifupi ,ukiona sehemu msukuma kaweka kambi,usicheze mbali Kama sio mvivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu katavi tukupe Ramani.Asante sana ndugu yangu
Sema mimi nahofia mtaji wangu uko chini ya milion moja
Sent using Jamii Forums mobile app