Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Carbon 14!!! Mpaka leo sijui wanafanyaje!?Mkuu hii miaka laki miaka milioni mnaipimaje? Mnajuaje ?
Utakua umetufananisha na wahaya kwa vile sote ni madon
Kwenye hili Mungu hapingiki maana hata sayansi yenyewe kuna maswali mengi mpaka sasa hivi imeshindwa kuyapatia majibu. Mfano mmoja wa kushangaza ni sayari zote hata zile zilizopo nje ya GALAXY ya jua letu hili maana usifikiri Ulimwengu una kajua haka kamoja tu tunakokaona kila siku hapapa, ipo mifumo ya 'majua' mengine lukuki kama uonavyo hili la kwetu hapa, tena makubwa mara mamia ya hili na yana sayari zao vilevile.Mungu yupo sayansi ipo
Kufikia ardhi kuungua siyo kitu kidogo.
Hata hao watafiti nao wanasoma tu vitabuni pengine nao hawaelewi.
Tutegemee lolote huo moto utokee chini upande kwa msukumo mkubwa au kidogo kidogo na ni baada ya miaka mingapi hatujui.
Ule moto unaowaka mlimani Kilimanjaro itakuwa ndo hivyo viashiria kuwa moto upo chini,
Japo hatuamini kwenye matambiko tena lakini yalifanywa zamani na babu zetu.
Bonde la ufa ni eneo la ardhi au bahari linalotitia chini baada ya mabamba mawili au matatu ya ardhi kila moja kujivuta upande wake au kupasuka. Bamba maana yake ni pande kubwa la mwamba hasa sehemu ya juu ( Earth's lithosphere) ambalo huelea juu ya bamba lile linalochemka kwa joto kali (asthenosphere). Toka Dunia kuumbwa ina mabamba 7 ambayo ndiyo huunda sehemu ya juu ya duniaNingependa kujua haswa nini chanzo cha kutokea kwa bonde la ufa, athari zake ni nini kwa nyakati zilizopita na hizi tulizo nazo na zijazo.
Kama lisingetokea hilo bonde la ufa nini kingetokea na nini kitatokea baada ya kutokea bonde la ufa.