Absolute
JF-Expert Member
- Jan 19, 2007
- 333
- 61
Mkuu;
Poleni kwa majukumu ya kila siku ktk kujenga inji hiii...
Eti ni kweli kwamba mmliki wa theutamu (Malecela Peter Lusinde) amedakwa?
Naomba unijulishe maana nimeona kwenye kablu flani (http://mpoki.blogspot.com/2009/06/utamu.html) wameandika as below;
BREAKING NEWS
Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa
(Interpol),wamefani kiwa kumshika Raia mmoja wa Uingereza ambaye ana
asili ya Tanzania Ndg Malecela Peter Lusinde (pichani) mwenye umri wa
miaka 39 na kutuhumiwa kwa kuundesha mtandao wa Ze Utamu. Ndugu
Malecela ambaye anajulikana pia kwa jina la "Male" ni Mtaalamu wa
kompyuta na ana uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza,kiswahil na kichina ana makazi katika mji wa Essex nchini Uingereza.
Wataalamu wa Idara ya upelelezi kutoka Tanzania wakishirikiana na
wenzao wa Uingereza wamefanikiwa kuonana na Ndg Male na kupata
ushahidi wa kutosha kwamba ndiye alikuwa mmiliki wa Mtandao huo.Idara
ya Upelelezi na polisi wa Uingereza wameutaarifu Ubalozi wa Tanzania
mjini London kuhusu suala hilo.Maofisa Ubalozi Mr.Clement Kiondo na
Amos Msanjila wamefahamishwa jambo hilo.Malecela ni Mtoto wa Mzee Job
Lusinde ambaye amewahi kufanya kazi kwenye nyadhifa mbalimbali za
utumishi wa serikali Nchini Tanzania.
Habari zilizothibitishwa zinadai kuwa Ndg Malecela amerudishwa
Tanzania kwenda kujibu tuhuma mbalimbali za kuendesha mtandao uliokuwa
unadhalilisha watu,kuna malalamiko 6850 yaliyoandikishwa kulaumu
udhalilishwaji wa watu uliofanywa na mtandao huo,Mtandao huo
ulisimamishwa mwanzoni mwa mwezi wa pili kwa maombi ya serikali ya
Tanzania baada ya kutoa picha ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya
Muungano Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete,ufuatiliaji uliofanywa baada ya
picha hiyo ndio umepelekea kukamatwa kwa Ndg Malecela.
Haijaeleweka wazi Ndg Malecela atashitakiwa kwa sheria gani? Lakini ni
wazi kwamba atashitakiwa Nchini Tanzania. Licha ya Ndg. Malecela
Polisi wa Upelelezi wamezungumza na Watanzania wengine wawili katika
miji ya Wichita na San Diego Nchini Marekani, ambao pia wanahusishwa
na Mtandao huo wa Ze Utamu.
--------------------------------------
Mwenye ufahamu kuhusu hili plz atusaidie with details.
Poleni kwa majukumu ya kila siku ktk kujenga inji hiii...
Eti ni kweli kwamba mmliki wa theutamu (Malecela Peter Lusinde) amedakwa?
Naomba unijulishe maana nimeona kwenye kablu flani (http://mpoki.blogspot.com/2009/06/utamu.html) wameandika as below;
BREAKING NEWS
Polisi wa Tanzania kwa kushirikiana na Polisi wa Kimataifa
(Interpol),wamefani kiwa kumshika Raia mmoja wa Uingereza ambaye ana
asili ya Tanzania Ndg Malecela Peter Lusinde (pichani) mwenye umri wa
miaka 39 na kutuhumiwa kwa kuundesha mtandao wa Ze Utamu. Ndugu
Malecela ambaye anajulikana pia kwa jina la "Male" ni Mtaalamu wa
kompyuta na ana uwezo wa kuzungumza na kuandika Kiingereza,kiswahil na kichina ana makazi katika mji wa Essex nchini Uingereza.
Wataalamu wa Idara ya upelelezi kutoka Tanzania wakishirikiana na
wenzao wa Uingereza wamefanikiwa kuonana na Ndg Male na kupata
ushahidi wa kutosha kwamba ndiye alikuwa mmiliki wa Mtandao huo.Idara
ya Upelelezi na polisi wa Uingereza wameutaarifu Ubalozi wa Tanzania
mjini London kuhusu suala hilo.Maofisa Ubalozi Mr.Clement Kiondo na
Amos Msanjila wamefahamishwa jambo hilo.Malecela ni Mtoto wa Mzee Job
Lusinde ambaye amewahi kufanya kazi kwenye nyadhifa mbalimbali za
utumishi wa serikali Nchini Tanzania.
Habari zilizothibitishwa zinadai kuwa Ndg Malecela amerudishwa
Tanzania kwenda kujibu tuhuma mbalimbali za kuendesha mtandao uliokuwa
unadhalilisha watu,kuna malalamiko 6850 yaliyoandikishwa kulaumu
udhalilishwaji wa watu uliofanywa na mtandao huo,Mtandao huo
ulisimamishwa mwanzoni mwa mwezi wa pili kwa maombi ya serikali ya
Tanzania baada ya kutoa picha ya kumdhalilisha Rais wa Jamhuri ya
Muungano Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete,ufuatiliaji uliofanywa baada ya
picha hiyo ndio umepelekea kukamatwa kwa Ndg Malecela.
Haijaeleweka wazi Ndg Malecela atashitakiwa kwa sheria gani? Lakini ni
wazi kwamba atashitakiwa Nchini Tanzania. Licha ya Ndg. Malecela
Polisi wa Upelelezi wamezungumza na Watanzania wengine wawili katika
miji ya Wichita na San Diego Nchini Marekani, ambao pia wanahusishwa
na Mtandao huo wa Ze Utamu.
--------------------------------------
Mwenye ufahamu kuhusu hili plz atusaidie with details.