msafiri augustino
New Member
- Aug 2, 2013
- 2
- 0
haya itafahamika wakati ukifika:wave:
Mbona mnafatafata huyu dogo si mumuache ale neema alizojaaliwa kesheni na nyie mkiomba mtashushiwa neema kama mvua
huyu dogo m namshaur 2015 mwanzoni AHAME NCHI,au aombe DR.SALIM(CCM) au DR.SLAA(CHADEMA) wasichukue nchi..
Malori karibu mia mbili ya asas yanayokwenda congo na zambia ni ya ridwan akishirikiana na waarabu waitwao asas wa Iringa
nawakilisha
Jamani achene kumsingizia huyu dogo, dogo anamiliki Toyota Camri ndoo amiliki vituo vya mafuta si angenunua gari zuri zaidi. Yale magari mazuri anayotumia anaazima kwa marafiki zake town.
Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010.
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata JK ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya Burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivi majuzi....
My vision to become one among the leading Oil Marketing Companies in Tanzania way back in 2006 seemed just a distant dream at the time with just a handful of staff, no operational depot, service station or even a fleet of trucks
Lake Oil Limited has struggled and come a long way since then and this has been made possible through the 100% support it has received from its various International suppliers and banks, not forgetting the endless efforts of its staff and most important of all, my ongoing drive to succeed, consistent persistence, determination and self motivation
Today Lake Oil Limited stands proud among other Oil Marketing Companies in the country and aim's not to stop there, but to reach greater heights by placing itself on an International level having already successfully opened branches in many African countries
Ally Edha Awadh
Founder and Chief Executive Officer
Message from the Founder and CEO | Lake Group
Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010.
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata JK ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya Burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivi majuzi....
Faby hawa jamaa we una wafaham vizuri?
Malori karibu mia mbili ya asas yanayokwenda congo na zambia ni ya ridwan akishirikiana na waarabu waitwao asas wa Iringa
nawakilisha
Hizo ni taarifa sahihi kabisa. Kuna data tunazikamilisha tutazimwaga humu wakati wowote kuonyesha ufisadi wa huyo dogo akishirikiana na baba yake. Stay tuned.