kagamba kadogo
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 178
- 13
Kuna taarifa kwamba Riz-one anamiliki vituo vya mafuta vya Lake oil. Anashirikiana na jamaa mmoja ambaye alikuwa bosi wake na waziri aliyeshindwa uchaguzi 2010.
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata JK ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya Burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivi majuzi....
Kumbe ndio maana jamaa wana jeuri ehhhh. Du hata JK ana tenda ya kusupply mafuta serikali ya Burundi ndo maana mama alikuja kumsalimia mshirika wa mumewe (nkurunziiza) hivi majuzi....