Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 946
- 1,086
Habari Tanzania!
Kwa wapenda maendeleo, afya na uchumi huu mmea wa "stevia" waweza kuwa mkombozi kwa taifa.
Wataalamu wa afya, tiba, utafiti na kilimo naomba kuliweka kwenu hili faili la mmea wa "STEVIA" maana wananchi wamechoka na magonjwa ya kisukari, bei ya sukari kuwa aghali sana nk
Cc: Mikoa ya Arusha, Mbeya, Kagera na Morogoro.
Karibu.View attachment 1498419View attachment 1498420
Kwa wapenda maendeleo, afya na uchumi huu mmea wa "stevia" waweza kuwa mkombozi kwa taifa.
Wataalamu wa afya, tiba, utafiti na kilimo naomba kuliweka kwenu hili faili la mmea wa "STEVIA" maana wananchi wamechoka na magonjwa ya kisukari, bei ya sukari kuwa aghali sana nk
Cc: Mikoa ya Arusha, Mbeya, Kagera na Morogoro.
Karibu.View attachment 1498419View attachment 1498420