Ngozi Joram
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 659
- 543
Habari zenu wanajukwaa,natumaini neema ya Mungu ingalipo nanyi.
Nimepata kusikia kuna mmea/mzizi kwa jina la jinseng unamaajabu katika tina yaani ni multifunction kwenye afya zetu.
Swali je jinseng inapatikana Tz?(maana niliambiwa ni ya china) pia je huu mmea haupobhapa Tz jamani maana isijekua tunayo ila ndo hatujui
Nimepata kusikia kuna mmea/mzizi kwa jina la jinseng unamaajabu katika tina yaani ni multifunction kwenye afya zetu.
Swali je jinseng inapatikana Tz?(maana niliambiwa ni ya china) pia je huu mmea haupobhapa Tz jamani maana isijekua tunayo ila ndo hatujui