Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,426
- 1,475
Yes To HELL, well said mzee, mkuu usiombe ikutokee kama mie hapa, sio mtumiaji wa kinywaji au kilevi chochote hivyo am BURNING softly inside ndugu yangu, kama ningekuwa sio understanding man basi ningeanza hata kupata mbili moja baridi lkn sipo kwa hivyo vitu...
Ni kweli kaka natambua maumiv ulonayo.Hata mimi nlipitia huko na si mtumiaji wa kilev chochote kile.Natambua kaz haziend,tv haiangaliki,chakula ndo kabisaa unakula just kuzuia usidhoofu lakn hapetite zero,usingz nao wa kufosi,ah kwa ujumla ni ghasia tupu.Tambua upo kwenye transition period na ukubali maumiv hayo yataisha tu.Hakuna kitu kinatibu hapa chini ya jua kama MUDA. take your time fanya maamuz ya kiume.Wewe si wa kwanza kufanyiwa hayo.Ukitaka pepo kabili maumivu ya kutolewa roho so na wewe kubali maumivu ya kumpoteza mke wako lakn bdae uishi bila stress.Take that