Mke wako ni Abigael wa leo? Au je, umemuandaaje binti yako kuwa kama Abigael?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,339
51,864
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?

Anaandika Robert Heriel,

Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye yuaishi kwa taabu, nayo maisha hayamfai kitu.

Niite Taikon wa Fasihi, kuhani katika Hekalu jeusi, kutoka Nyota ya Tibeli yenye mbawa mbili irukayo toka ulimwengu huu mpaka huu.

Mwanamke bora ambaye baadaye huja kuitwa MKE MWEMA, na kisha kumfanya awe bora anasifa kuu Mbili za msingi;

1. MZURI WA MAUMBILE
2. MWENYE AKILI NJEMA.

Wanaume wote wenye hekma na akili na wenye mpango wa kuzalisha kizazi bora katika dunia hii huangalia sifa hizo hapo juu. Ni sifa mbili tu.

Maumbile hapa yanahusu uzuri wa sura, kimo, rangi, sauti, nywele, kucha na viungo vingine. Kila mwanaume anavutiwa na mwanamke mzuri kulingana na Muono wa akili na macho yake. Mwanamke ninayeweza kumuona mzuri Mimi, Bujibuji anaweza asimuone mzuri, na mwanamke atakayemuona Mzuri Extrovent sio utakayemuona wewe mzuri.

Wapo tunaopenda wanawake waliojaliwa matako na mapaja yenye afya, lakini wapo wapendao vimbaumbau, kila mwanamke mzuri kulingana na kundi lake.

Hata hivyo hatuwezi kuwa wanafiki kuwa linapokuja suala la sura nzuri, wapo wanawake wenye sura nzuri jamani kama viumbe wa peponi. Wanawake wa hivi huwa ni ghali sana na ukiwapata inakuwa kama bahati.

Kigezo cha uzuri wa maumbile hakitoshi kumfanya mwanamke awe mke, isipokuwa kipo kigezo kingine cha muhimu na lazima ambacho ni AKILI NJEMA, Hakika mwanamke mwenye akili njema alafu awe mzuri thamani yake ni kubwa sana.

Uzuri wa maumbile ya mwanamke hufurahisha hisia za sisi wanaume, lakini AKILI za mwanamke hudumisha mahusiano. Mwanamke yeyote mwenye akili lazima mahusiano yake yadumu kivyovyote vile kwani atajua nini chakufanya hata kama mume wake atakuwa ana mapungufu.

Biblia na Quran zinaeleza wazi kuwa Mwanamke Mpumbavu huvunja nyumba kwa mikono yake miwili kumaanisha pasipo mwanamke kuwa mpumbavu nyumba haiwezi kuvunjwa.

SIpendi kulisema hili kwani huenda likagusa watu wengi mpaka wa karibu yangu, lakini siku zote Taikon yu asema ukweli hata kama unamgusa yeye mwenyewe; Asilimia 99% ya ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Wanawake wa zama za leo huwekeza zaidi kujiremba na kujipodoa kwenye sura zao, na kuzisahau akili zao, huacha akili zao zikiwa chafu zikiwa zinanuka tabia za hovyo kabisa.
Ni mara chache sana ukute mwanamke mzuri akawa na akili, mara chache sana, tena awe na matako makubwa ndio kabisa wengi wao wanakuwa hamnazo, yaani ni kama wendawazimu.

Huwa nawashauri vijana kuwa, unapotafuta mwenza wa maisha usipumbazwe na uzuri pekee wa mwanamke, uzuri hata paka anao lakini akili ndio nyenzo muhimu ya mahusiano.
Ninaposema akili sio zile akili za shuleni za kufaulu darasani, hasha! nazungumzia akili njema za mwanamke kujitambua na kujua nafasi na wajibu wake ndani ya jamii.

Jamii yoyote iliyomasikini inatokana na akili za wamama, hii inaweza ikaumiza hisia za watu lakini huo ndio ukweli. Ukioa mwanamke ambaye hana akili zaidi ya kujivunia uzuri wake, usishangae ukapata matoto ya hovyo kabisa, siku zote nasemaga Malezi hutoka kwa Mama sio kwa Baba. Mtoto akiharibika asilimia kubwa anaharibiwa na mwanamke. Na mtoto akiwa na tabia njema basi fahamu kabisa kuwa Mama ndio msingi wa tabia hiyo kwa sehemu kubwa. Nature inaeleza kuwa Mama ndiye mlezi wa watoto, wababa tunaingiliaga tuu majukumu.
Jukumu la Baba ni kumlea Mama na kumhudumia, kumtiisha na kumfanya awe Mama bora.

Hata hivyo wapo wanawake wachache ambao wanauwezo unaokaribia kulingana na wanaume, wanawake hawa huwashinda mpaka baadhi ya wanaume kiakili, kiutawala na namna ya kuyakabili mazingira. Wanawake wa hivi wengi waliwekeza kwenye AKILI NJEMA zaidi kuliko uzuri wao.

Kisa kifuatacho kitufanye tuwafundishe na kuwaandaa binti zetu kuwa wake wema, wenye akili njema na uzuri wa maumbile kama alivyokuwa ABIGAEL

Tuingalie familia ya Tajiri Mmoja aitwaye NABALI na Mkewe Abigael, na Mfalme Daudi
1. SAMWELI 25
3 Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.

ZINGATIA; Maneno niliyoyakoleza hapo Juu.
Kama sio mvivu nimekuwekea kisa chote hapa chini unaweza kukisoma, ni Family matters ingawaje kuna sehemu SIASA inajitokeza.
Endelea;
1 samweli 25
4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.

5 Daudi akatuma vijana kumi, Daudi naye akawaambia hao vijana, Kweeni mwende Karmeli, na kumwendea huyu Nabali ili mnisalimie;

6 na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.

7 Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo zako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali sawasawa na maneno hayo yote kwa jina la Daudi, kisha wakanyamaza.

10 Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumwa wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!

11 Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao manyoya kondoo zangu, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia sawasawa na maneno hayo yote.

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

14 Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, kasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.

15 Walakini watu hawa walitutendea mema sana, wala hatukupata dhara, wala sisi hatukupotewa na kitu cho chote, wakati wote tulipofuatana nao, tulipokuwako mavueni;

16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo.

17 Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.

18 Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliofanyizwa tayari, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.

19 Akawaambia vijana wake, Haya! Tangulieni mbele yangu; angalieni, mimi nawafuata. Ila hakumwambia mumewe, Nabali.

20 Ikawa, alipokuwa amepanda punda wake, na kutelemka penye sitara ya mlima, tazama, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kumkabili; naye akawakuta.

21 Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

22 Mungu naye awafanyie hivyo adui za Daudi, na kuzidi, nikimwachia katika wote walio wake hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

23 Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.

24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

25 Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo Bwana, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa Bwana amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.

28 Nakuomba ulisamehe kosa lake mjakazi wako, kwa kuwa hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba iliyo imara, kwa sababu bwana wangu anavipiga vita vya Bwana; tena uovu hautaonekana ndani yako siku zako zote.

29 Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.

30 Tena itakuwa, hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;

33 na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo Bwana, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

35 Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

36 Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.

37 Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mkewe alimwambia mambo hayo, na moyo wake ukafa ndani yake, akawa kama jiwe.

38 Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, Bwana alimpiga huyo Nabali, hata akafa.

39 Naye aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, Daudi alisema, Na ahimidiwe Bwana ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumwa wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali Bwana amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.

40 Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.

41 Naye akainuka na kujiinamisha kifulifuli mpaka nchi, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumwa wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.

42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe.

43 Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wakawa wote wawili wakeze.

44 Walakini Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu wa Galimu, Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi.

Kwa leo tuishia hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Bunju, Dar es salaam
 
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?

Anaandika Robert Heriel,

Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye yuaishi kwa taabu, nayo maisha hayamfai kitu.

Niite Taikon wa Fasihi, kuhani katika Hekalu jeusi, kutoka Nyota ya Tibeli yenye mbawa mbili irukayo toka ulimwengu huu mpaka huu.

Mwanamke bora ambaye baadaye huja kuitwa MKE MWEMA, na kisha kumfanya awe bora anasifa kuu Mbili za msingi;



Wanaume wote wenye hekma na akili na wenye mpango wa kuzalisha kizazi bora katika dunia hii huangalia sifa hizo hapo juu.
Ni sifa mbili tuu.
Maumbile hapa yanahusu uzuri wa sura, kimo, rangi, sauti, nywele, kucha na viungo vingine. Kila mwanaume anavutiwa na mwanamke mzuri kulingana na Muono wa akili na macho yake. Mwanamke ninayeweza kumuona mzuri Mimi, Bujibuji anaweza asimuone mzuri, na mwanamke atakayemuona Mzuri Extrovent sio utakayemuona wewe mzuri.
Wapo tunaopenda wanawake waliojaliwa matako na mapaja yenye afya, lakini wapo wapendao vimbaumbau, kila mwanamke mzuri kulingana na kundi lake.
Hata hivyo hatuwezi kuwa wanafiki kuwa linapokuja suala la sura nzuri, wapo wanawake wenye sura nzuri jamani kama viumbe wa peponi. Wanawake wa hivi huwa ni ghali sana na ukiwapata inakuwa kama bahati.

Kigezo cha uzuri wa maumbile hakitoshi kumfanya mwanamke awe mke, isipokuwa kipo kigezo kingine cha muhimu na lazima ambacho ni AKILI NJEMA, Hakika mwanamke mwenye akili njema alafu awe mzuri thamani yake ni kubwa sana.

Uzuri wa maumbile ya mwanamke hufurahisha hisia za sisi wanaume, lakini AKILI za mwanamke hudumisha mahusiano. Mwanamke yeyote mwenye akili lazima mahusiano yake yadumu kivyovyote vile kwani atajua nini chakufanya hata kama mume wake atakuwa anamapungufu.
Biblia na Quran zinaeleza wazi kuwa Mwanamke Mpumbavu huvunja nyumba kwa mikono yake miwili kumaanisha pasipo mwanamke kuwa mpumbavu nyumba haiwezi kuvunjwa.

SIpendi kulisema hili kwani huenda likagusa watu wengi mpaka wa karibu yangu, lakini siku zote Taikon yu asema ukweli hata kama unamgusa yeye mwenyewe; Asilimia 99% ya ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Wanawake wa zama za leo huwekeza zaidi kujiremba na kujipodoa kwenye sura zao, na kuzisahau akili zao, huacha akili zao zikiwa chafu zikiwa zinanuka tabia za hovyo kabisa.
Ni mara chache sana ukute mwanamke mzuri akawa na akili, mara chache sana, tena awe na matako makubwa ndio kabisa wengi wao wanakuwa hamnazo, yaani ni kama wendawazimu.

Huwa nawashauri vijana kuwa, unapotafuta mwenza wa maisha usipumbazwe na uzuri pekee wa mwanamke, uzuri hata paka anao lakini akili ndio nyenzo muhimu ya mahusiano.
Ninaposema akili sio zile akili za shuleni za kufaulu darasani, hasha! nazungumzia akili njema za mwanamke kujitambua na kujua nafasi na wajibu wake ndani ya jamii.

Jamii yoyote iliyomasikini inatokana na akili za wamama, hii inaweza ikaumiza hisia za watu lakini huo ndio ukweli. Ukioa mwanamke ambaye hana akili zaidi ya kujivunia uzuri wake, usishangae ukapata matoto ya hovyo kabisa, siku zote nasemaga Malezi hutoka kwa Mama sio kwa Baba. Mtoto akiharibika asilimia kubwa anaharibiwa na mwanamke. Na mtoto akiwa na tabia njema basi fahamu kabisa kuwa Mama ndio msingi wa tabia hiyo kwa sehemu kubwa. Nature inaeleza kuwa Mama ndiye mlezi wa watoto, wababa tunaingiliaga tuu majukumu.
Jukumu la Baba ni kumlea Mama na kumhudumia, kumtiisha na kumfanya awe Mama bora.

Hata hivyo wapo wanawake wachache ambao wanauwezo unaokaribia kulingana na wanaume, wanawake hawa huwashinda mpaka baadhi ya wanaume kiakili, kiutawala na namna ya kuyakabili mazingira. Wanawake wa hivi wengi waliwekeza kwenye AKILI NJEMA zaidi kuliko uzuri wao.

Kisa kifuatacho kitufanye tuwafundishe na kuwaandaa binti zetu kuwa wake wema, wenye akili njema na uzuri wa maumbile kama alivyokuwa ABIGAEL

Tuingalie familia ya Tajiri Mmoja aitwaye NABALI na Mkewe Abigael, na Mfalme Daudi
1. SAMWELI 25
3 Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.

ZINGATIA; Maneno niliyoyakoleza hapo Juu.
Kama sio mvivu nimekuwekea kisa chote hapa chini unaweza kukisoma, ni Family matters ingawaje kuna sehemu SIASA inajitokeza.
Endelea;
1 samweli 25
4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.

5 Daudi akatuma vijana kumi, Daudi naye akawaambia hao vijana, Kweeni mwende Karmeli, na kumwendea huyu Nabali ili mnisalimie;

6 na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.

7 Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo zako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali sawasawa na maneno hayo yote kwa jina la Daudi, kisha wakanyamaza.

10 Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumwa wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!

11 Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao manyoya kondoo zangu, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia sawasawa na maneno hayo yote.

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

14 Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, kasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.

15 Walakini watu hawa walitutendea mema sana, wala hatukupata dhara, wala sisi hatukupotewa na kitu cho chote, wakati wote tulipofuatana nao, tulipokuwako mavueni;

16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo.

17 Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.

18 Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliofanyizwa tayari, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.

19 Akawaambia vijana wake, Haya! Tangulieni mbele yangu; angalieni, mimi nawafuata. Ila hakumwambia mumewe, Nabali.

20 Ikawa, alipokuwa amepanda punda wake, na kutelemka penye sitara ya mlima, tazama, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kumkabili; naye akawakuta.

21 Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

22 Mungu naye awafanyie hivyo adui za Daudi, na kuzidi, nikimwachia katika wote walio wake hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

23 Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.

24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

25 Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo Bwana, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa Bwana amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.

28 Nakuomba ulisamehe kosa lake mjakazi wako, kwa kuwa hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba iliyo imara, kwa sababu bwana wangu anavipiga vita vya Bwana; tena uovu hautaonekana ndani yako siku zako zote.

29 Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.

30 Tena itakuwa, hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;

33 na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo Bwana, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

35 Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

36 Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.

37 Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mkewe alimwambia mambo hayo, na moyo wake ukafa ndani yake, akawa kama jiwe.

38 Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, Bwana alimpiga huyo Nabali, hata akafa.

39 Naye aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, Daudi alisema, Na ahimidiwe Bwana ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumwa wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali Bwana amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.

40 Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.

41 Naye akainuka na kujiinamisha kifulifuli mpaka nchi, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumwa wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.

42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe.

43 Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wakawa wote wawili wakeze.

44 Walakini Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu wa Galimu, Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi.

Kwa leo tuishia hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Bunju, Dar es salaam
Interesting....... Halafu jina la mwanangu ila story ya jina lake sikua naijua vizuri
 
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?

Anaandika Robert Heriel,

Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye yuaishi kwa taabu, nayo maisha hayamfai kitu.

Niite Taikon wa Fasihi, kuhani katika Hekalu jeusi, kutoka Nyota ya Tibeli yenye mbawa mbili irukayo toka ulimwengu huu mpaka huu.

Mwanamke bora ambaye baadaye huja kuitwa MKE MWEMA, na kisha kumfanya awe bora anasifa kuu Mbili za msingi;



Wanaume wote wenye hekma na akili na wenye mpango wa kuzalisha kizazi bora katika dunia hii huangalia sifa hizo hapo juu.
Ni sifa mbili tuu.
Maumbile hapa yanahusu uzuri wa sura, kimo, rangi, sauti, nywele, kucha na viungo vingine. Kila mwanaume anavutiwa na mwanamke mzuri kulingana na Muono wa akili na macho yake. Mwanamke ninayeweza kumuona mzuri Mimi, Bujibuji anaweza asimuone mzuri, na mwanamke atakayemuona Mzuri Extrovent sio utakayemuona wewe mzuri.
Wapo tunaopenda wanawake waliojaliwa matako na mapaja yenye afya, lakini wapo wapendao vimbaumbau, kila mwanamke mzuri kulingana na kundi lake.
Hata hivyo hatuwezi kuwa wanafiki kuwa linapokuja suala la sura nzuri, wapo wanawake wenye sura nzuri jamani kama viumbe wa peponi. Wanawake wa hivi huwa ni ghali sana na ukiwapata inakuwa kama bahati.

Kigezo cha uzuri wa maumbile hakitoshi kumfanya mwanamke awe mke, isipokuwa kipo kigezo kingine cha muhimu na lazima ambacho ni AKILI NJEMA, Hakika mwanamke mwenye akili njema alafu awe mzuri thamani yake ni kubwa sana.

Uzuri wa maumbile ya mwanamke hufurahisha hisia za sisi wanaume, lakini AKILI za mwanamke hudumisha mahusiano. Mwanamke yeyote mwenye akili lazima mahusiano yake yadumu kivyovyote vile kwani atajua nini chakufanya hata kama mume wake atakuwa anamapungufu.
Biblia na Quran zinaeleza wazi kuwa Mwanamke Mpumbavu huvunja nyumba kwa mikono yake miwili kumaanisha pasipo mwanamke kuwa mpumbavu nyumba haiwezi kuvunjwa.

SIpendi kulisema hili kwani huenda likagusa watu wengi mpaka wa karibu yangu, lakini siku zote Taikon yu asema ukweli hata kama unamgusa yeye mwenyewe; Asilimia 99% ya ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Wanawake wa zama za leo huwekeza zaidi kujiremba na kujipodoa kwenye sura zao, na kuzisahau akili zao, huacha akili zao zikiwa chafu zikiwa zinanuka tabia za hovyo kabisa.
Ni mara chache sana ukute mwanamke mzuri akawa na akili, mara chache sana, tena awe na matako makubwa ndio kabisa wengi wao wanakuwa hamnazo, yaani ni kama wendawazimu.

Huwa nawashauri vijana kuwa, unapotafuta mwenza wa maisha usipumbazwe na uzuri pekee wa mwanamke, uzuri hata paka anao lakini akili ndio nyenzo muhimu ya mahusiano.
Ninaposema akili sio zile akili za shuleni za kufaulu darasani, hasha! nazungumzia akili njema za mwanamke kujitambua na kujua nafasi na wajibu wake ndani ya jamii.

Jamii yoyote iliyomasikini inatokana na akili za wamama, hii inaweza ikaumiza hisia za watu lakini huo ndio ukweli. Ukioa mwanamke ambaye hana akili zaidi ya kujivunia uzuri wake, usishangae ukapata matoto ya hovyo kabisa, siku zote nasemaga Malezi hutoka kwa Mama sio kwa Baba. Mtoto akiharibika asilimia kubwa anaharibiwa na mwanamke. Na mtoto akiwa na tabia njema basi fahamu kabisa kuwa Mama ndio msingi wa tabia hiyo kwa sehemu kubwa. Nature inaeleza kuwa Mama ndiye mlezi wa watoto, wababa tunaingiliaga tuu majukumu.
Jukumu la Baba ni kumlea Mama na kumhudumia, kumtiisha na kumfanya awe Mama bora.

Hata hivyo wapo wanawake wachache ambao wanauwezo unaokaribia kulingana na wanaume, wanawake hawa huwashinda mpaka baadhi ya wanaume kiakili, kiutawala na namna ya kuyakabili mazingira. Wanawake wa hivi wengi waliwekeza kwenye AKILI NJEMA zaidi kuliko uzuri wao.

Kisa kifuatacho kitufanye tuwafundishe na kuwaandaa binti zetu kuwa wake wema, wenye akili njema na uzuri wa maumbile kama alivyokuwa ABIGAEL

Tuingalie familia ya Tajiri Mmoja aitwaye NABALI na Mkewe Abigael, na Mfalme Daudi
1. SAMWELI 25
3 Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.

ZINGATIA; Maneno niliyoyakoleza hapo Juu.
Kama sio mvivu nimekuwekea kisa chote hapa chini unaweza kukisoma, ni Family matters ingawaje kuna sehemu SIASA inajitokeza.
Endelea;
1 samweli 25
4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.

5 Daudi akatuma vijana kumi, Daudi naye akawaambia hao vijana, Kweeni mwende Karmeli, na kumwendea huyu Nabali ili mnisalimie;

6 na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.

7 Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo zako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali sawasawa na maneno hayo yote kwa jina la Daudi, kisha wakanyamaza.

10 Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumwa wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!

11 Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao manyoya kondoo zangu, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia sawasawa na maneno hayo yote.

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

14 Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, kasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.

15 Walakini watu hawa walitutendea mema sana, wala hatukupata dhara, wala sisi hatukupotewa na kitu cho chote, wakati wote tulipofuatana nao, tulipokuwako mavueni;

16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo.

17 Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.

18 Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliofanyizwa tayari, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.

19 Akawaambia vijana wake, Haya! Tangulieni mbele yangu; angalieni, mimi nawafuata. Ila hakumwambia mumewe, Nabali.

20 Ikawa, alipokuwa amepanda punda wake, na kutelemka penye sitara ya mlima, tazama, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kumkabili; naye akawakuta.

21 Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

22 Mungu naye awafanyie hivyo adui za Daudi, na kuzidi, nikimwachia katika wote walio wake hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

23 Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.

24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

25 Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo Bwana, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa Bwana amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.

28 Nakuomba ulisamehe kosa lake mjakazi wako, kwa kuwa hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba iliyo imara, kwa sababu bwana wangu anavipiga vita vya Bwana; tena uovu hautaonekana ndani yako siku zako zote.

29 Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.

30 Tena itakuwa, hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;

33 na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo Bwana, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

35 Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

36 Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.

37 Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mkewe alimwambia mambo hayo, na moyo wake ukafa ndani yake, akawa kama jiwe.

38 Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, Bwana alimpiga huyo Nabali, hata akafa.

39 Naye aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, Daudi alisema, Na ahimidiwe Bwana ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumwa wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali Bwana amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.

40 Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.

41 Naye akainuka na kujiinamisha kifulifuli mpaka nchi, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumwa wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.

42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe.

43 Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wakawa wote wawili wakeze.

44 Walakini Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu wa Galimu, Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi.

Kwa leo tuishia hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Bunju, Dar es salaam
Interesting....... Halafu jina la mwanangu ila story ya jina lake sikua naijua vizuri
Now you know MKUU
Sure... Biblical story are always amazing
 
Hii nitaisoma kesho mkuu, nakubali sana maandiko yako...huwezi jua miaka 3000 ijayo ikawa ni kitabu katika mjumuiko wa vitabu vya watu kujiongoza...put it all on paper mzee
 
UKweli ni kwamba huwezi kubarikiwa vyote,wanawake wazuri huwa na akili mabya,pia wanawake wenye sura nzito huwa na akili nzuri,halafu ndoa ni mipango ya Mungu cha msingi ni kumuomba Mungu akupe mke/mume mwema.
 
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?

Anaandika Robert Heriel,

Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye yuaishi kwa taabu, nayo maisha hayamfai kitu.

Niite Taikon wa Fasihi, kuhani katika Hekalu jeusi, kutoka Nyota ya Tibeli yenye mbawa mbili irukayo toka ulimwengu huu mpaka huu.

Mwanamke bora ambaye baadaye huja kuitwa MKE MWEMA, na kisha kumfanya awe bora anasifa kuu Mbili za msingi;



Wanaume wote wenye hekma na akili na wenye mpango wa kuzalisha kizazi bora katika dunia hii huangalia sifa hizo hapo juu.
Ni sifa mbili tuu.
Maumbile hapa yanahusu uzuri wa sura, kimo, rangi, sauti, nywele, kucha na viungo vingine. Kila mwanaume anavutiwa na mwanamke mzuri kulingana na Muono wa akili na macho yake. Mwanamke ninayeweza kumuona mzuri Mimi, Bujibuji anaweza asimuone mzuri, na mwanamke atakayemuona Mzuri Extrovent sio utakayemuona wewe mzuri.
Wapo tunaopenda wanawake waliojaliwa matako na mapaja yenye afya, lakini wapo wapendao vimbaumbau, kila mwanamke mzuri kulingana na kundi lake.
Hata hivyo hatuwezi kuwa wanafiki kuwa linapokuja suala la sura nzuri, wapo wanawake wenye sura nzuri jamani kama viumbe wa peponi. Wanawake wa hivi huwa ni ghali sana na ukiwapata inakuwa kama bahati.

Kigezo cha uzuri wa maumbile hakitoshi kumfanya mwanamke awe mke, isipokuwa kipo kigezo kingine cha muhimu na lazima ambacho ni AKILI NJEMA, Hakika mwanamke mwenye akili njema alafu awe mzuri thamani yake ni kubwa sana.

Uzuri wa maumbile ya mwanamke hufurahisha hisia za sisi wanaume, lakini AKILI za mwanamke hudumisha mahusiano. Mwanamke yeyote mwenye akili lazima mahusiano yake yadumu kivyovyote vile kwani atajua nini chakufanya hata kama mume wake atakuwa anamapungufu.
Biblia na Quran zinaeleza wazi kuwa Mwanamke Mpumbavu huvunja nyumba kwa mikono yake miwili kumaanisha pasipo mwanamke kuwa mpumbavu nyumba haiwezi kuvunjwa.

SIpendi kulisema hili kwani huenda likagusa watu wengi mpaka wa karibu yangu, lakini siku zote Taikon yu asema ukweli hata kama unamgusa yeye mwenyewe; Asilimia 99% ya ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Wanawake wa zama za leo huwekeza zaidi kujiremba na kujipodoa kwenye sura zao, na kuzisahau akili zao, huacha akili zao zikiwa chafu zikiwa zinanuka tabia za hovyo kabisa.
Ni mara chache sana ukute mwanamke mzuri akawa na akili, mara chache sana, tena awe na matako makubwa ndio kabisa wengi wao wanakuwa hamnazo, yaani ni kama wendawazimu.

Huwa nawashauri vijana kuwa, unapotafuta mwenza wa maisha usipumbazwe na uzuri pekee wa mwanamke, uzuri hata paka anao lakini akili ndio nyenzo muhimu ya mahusiano.
Ninaposema akili sio zile akili za shuleni za kufaulu darasani, hasha! nazungumzia akili njema za mwanamke kujitambua na kujua nafasi na wajibu wake ndani ya jamii.

Jamii yoyote iliyomasikini inatokana na akili za wamama, hii inaweza ikaumiza hisia za watu lakini huo ndio ukweli. Ukioa mwanamke ambaye hana akili zaidi ya kujivunia uzuri wake, usishangae ukapata matoto ya hovyo kabisa, siku zote nasemaga Malezi hutoka kwa Mama sio kwa Baba. Mtoto akiharibika asilimia kubwa anaharibiwa na mwanamke. Na mtoto akiwa na tabia njema basi fahamu kabisa kuwa Mama ndio msingi wa tabia hiyo kwa sehemu kubwa. Nature inaeleza kuwa Mama ndiye mlezi wa watoto, wababa tunaingiliaga tuu majukumu.
Jukumu la Baba ni kumlea Mama na kumhudumia, kumtiisha na kumfanya awe Mama bora.

Hata hivyo wapo wanawake wachache ambao wanauwezo unaokaribia kulingana na wanaume, wanawake hawa huwashinda mpaka baadhi ya wanaume kiakili, kiutawala na namna ya kuyakabili mazingira. Wanawake wa hivi wengi waliwekeza kwenye AKILI NJEMA zaidi kuliko uzuri wao.

Kisa kifuatacho kitufanye tuwafundishe na kuwaandaa binti zetu kuwa wake wema, wenye akili njema na uzuri wa maumbile kama alivyokuwa ABIGAEL

Tuingalie familia ya Tajiri Mmoja aitwaye NABALI na Mkewe Abigael, na Mfalme Daudi
1. SAMWELI 25
3 Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.

ZINGATIA; Maneno niliyoyakoleza hapo Juu.
Kama sio mvivu nimekuwekea kisa chote hapa chini unaweza kukisoma, ni Family matters ingawaje kuna sehemu SIASA inajitokeza.
Endelea;
1 samweli 25
4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.

5 Daudi akatuma vijana kumi, Daudi naye akawaambia hao vijana, Kweeni mwende Karmeli, na kumwendea huyu Nabali ili mnisalimie;

6 na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.

7 Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo zako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali sawasawa na maneno hayo yote kwa jina la Daudi, kisha wakanyamaza.

10 Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumwa wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!

11 Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao manyoya kondoo zangu, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia sawasawa na maneno hayo yote.

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

14 Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, kasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.

15 Walakini watu hawa walitutendea mema sana, wala hatukupata dhara, wala sisi hatukupotewa na kitu cho chote, wakati wote tulipofuatana nao, tulipokuwako mavueni;

16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo.

17 Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.

18 Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliofanyizwa tayari, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.

19 Akawaambia vijana wake, Haya! Tangulieni mbele yangu; angalieni, mimi nawafuata. Ila hakumwambia mumewe, Nabali.

20 Ikawa, alipokuwa amepanda punda wake, na kutelemka penye sitara ya mlima, tazama, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kumkabili; naye akawakuta.

21 Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

22 Mungu naye awafanyie hivyo adui za Daudi, na kuzidi, nikimwachia katika wote walio wake hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

23 Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.

24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

25 Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo Bwana, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa Bwana amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.

28 Nakuomba ulisamehe kosa lake mjakazi wako, kwa kuwa hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba iliyo imara, kwa sababu bwana wangu anavipiga vita vya Bwana; tena uovu hautaonekana ndani yako siku zako zote.

29 Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.

30 Tena itakuwa, hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;

33 na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo Bwana, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

35 Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

36 Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.

37 Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mkewe alimwambia mambo hayo, na moyo wake ukafa ndani yake, akawa kama jiwe.

38 Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, Bwana alimpiga huyo Nabali, hata akafa.

39 Naye aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, Daudi alisema, Na ahimidiwe Bwana ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumwa wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali Bwana amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.

40 Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.

41 Naye akainuka na kujiinamisha kifulifuli mpaka nchi, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumwa wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.

42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe.

43 Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wakawa wote wawili wakeze.

44 Walakini Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu wa Galimu, Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi.

Kwa leo tuishia hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Bunju, Dar es salaam
Toleo hili lilikufa miaka ilee tulilonalo majanga waweza ua kama Kaini na ukajibizana na mahakama
 
JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL?

Anaandika Robert Heriel,

Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye yuaishi kwa taabu, nayo maisha hayamfai kitu.

Niite Taikon wa Fasihi, kuhani katika Hekalu jeusi, kutoka Nyota ya Tibeli yenye mbawa mbili irukayo toka ulimwengu huu mpaka huu.

Mwanamke bora ambaye baadaye huja kuitwa MKE MWEMA, na kisha kumfanya awe bora anasifa kuu Mbili za msingi;



Wanaume wote wenye hekma na akili na wenye mpango wa kuzalisha kizazi bora katika dunia hii huangalia sifa hizo hapo juu.
Ni sifa mbili tuu.
Maumbile hapa yanahusu uzuri wa sura, kimo, rangi, sauti, nywele, kucha na viungo vingine. Kila mwanaume anavutiwa na mwanamke mzuri kulingana na Muono wa akili na macho yake. Mwanamke ninayeweza kumuona mzuri Mimi, Bujibuji anaweza asimuone mzuri, na mwanamke atakayemuona Mzuri Extrovent sio utakayemuona wewe mzuri.
Wapo tunaopenda wanawake waliojaliwa matako na mapaja yenye afya, lakini wapo wapendao vimbaumbau, kila mwanamke mzuri kulingana na kundi lake.
Hata hivyo hatuwezi kuwa wanafiki kuwa linapokuja suala la sura nzuri, wapo wanawake wenye sura nzuri jamani kama viumbe wa peponi. Wanawake wa hivi huwa ni ghali sana na ukiwapata inakuwa kama bahati.

Kigezo cha uzuri wa maumbile hakitoshi kumfanya mwanamke awe mke, isipokuwa kipo kigezo kingine cha muhimu na lazima ambacho ni AKILI NJEMA, Hakika mwanamke mwenye akili njema alafu awe mzuri thamani yake ni kubwa sana.

Uzuri wa maumbile ya mwanamke hufurahisha hisia za sisi wanaume, lakini AKILI za mwanamke hudumisha mahusiano. Mwanamke yeyote mwenye akili lazima mahusiano yake yadumu kivyovyote vile kwani atajua nini chakufanya hata kama mume wake atakuwa anamapungufu.
Biblia na Quran zinaeleza wazi kuwa Mwanamke Mpumbavu huvunja nyumba kwa mikono yake miwili kumaanisha pasipo mwanamke kuwa mpumbavu nyumba haiwezi kuvunjwa.

SIpendi kulisema hili kwani huenda likagusa watu wengi mpaka wa karibu yangu, lakini siku zote Taikon yu asema ukweli hata kama unamgusa yeye mwenyewe; Asilimia 99% ya ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Wanawake wa zama za leo huwekeza zaidi kujiremba na kujipodoa kwenye sura zao, na kuzisahau akili zao, huacha akili zao zikiwa chafu zikiwa zinanuka tabia za hovyo kabisa.
Ni mara chache sana ukute mwanamke mzuri akawa na akili, mara chache sana, tena awe na matako makubwa ndio kabisa wengi wao wanakuwa hamnazo, yaani ni kama wendawazimu.

Huwa nawashauri vijana kuwa, unapotafuta mwenza wa maisha usipumbazwe na uzuri pekee wa mwanamke, uzuri hata paka anao lakini akili ndio nyenzo muhimu ya mahusiano.
Ninaposema akili sio zile akili za shuleni za kufaulu darasani, hasha! nazungumzia akili njema za mwanamke kujitambua na kujua nafasi na wajibu wake ndani ya jamii.

Jamii yoyote iliyomasikini inatokana na akili za wamama, hii inaweza ikaumiza hisia za watu lakini huo ndio ukweli. Ukioa mwanamke ambaye hana akili zaidi ya kujivunia uzuri wake, usishangae ukapata matoto ya hovyo kabisa, siku zote nasemaga Malezi hutoka kwa Mama sio kwa Baba. Mtoto akiharibika asilimia kubwa anaharibiwa na mwanamke. Na mtoto akiwa na tabia njema basi fahamu kabisa kuwa Mama ndio msingi wa tabia hiyo kwa sehemu kubwa. Nature inaeleza kuwa Mama ndiye mlezi wa watoto, wababa tunaingiliaga tuu majukumu.
Jukumu la Baba ni kumlea Mama na kumhudumia, kumtiisha na kumfanya awe Mama bora.

Hata hivyo wapo wanawake wachache ambao wanauwezo unaokaribia kulingana na wanaume, wanawake hawa huwashinda mpaka baadhi ya wanaume kiakili, kiutawala na namna ya kuyakabili mazingira. Wanawake wa hivi wengi waliwekeza kwenye AKILI NJEMA zaidi kuliko uzuri wao.

Kisa kifuatacho kitufanye tuwafundishe na kuwaandaa binti zetu kuwa wake wema, wenye akili njema na uzuri wa maumbile kama alivyokuwa ABIGAEL

Tuingalie familia ya Tajiri Mmoja aitwaye NABALI na Mkewe Abigael, na Mfalme Daudi
1. SAMWELI 25
3 Na jina la mtu huyo aliitwa Nabali; na jina la mkewe aliitwa Abigaili, na huyo mwanamke alikuwa mwenye akili njema, mzuri wa uso; bali yule mwanamume alikuwa hana adabu, tena mwovu katika matendo yake; naye alikuwa wa mbari ya Kalebu.

ZINGATIA; Maneno niliyoyakoleza hapo Juu.
Kama sio mvivu nimekuwekea kisa chote hapa chini unaweza kukisoma, ni Family matters ingawaje kuna sehemu SIASA inajitokeza.
Endelea;
1 samweli 25
4 Basi Daudi akasikia huko nyikani ya kuwa Nabali alikuwa katika kuwakata manyoya kondoo zake.

5 Daudi akatuma vijana kumi, Daudi naye akawaambia hao vijana, Kweeni mwende Karmeli, na kumwendea huyu Nabali ili mnisalimie;

6 na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani na iwe kwako, na amani nyumbani mwako, na amani kwao wote ulio nao.

7 Nami sasa nimesikia ya kuwa una watu wanaokata manyoya kondoo zako; haya! Wachungaji wako wamekuwa pamoja nasi, wala hatukuwadhuru, wala hawakukosa kitu wakati wote walipokuwako huko Karmeli.

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

9 Basi walipofika vijana wake Daudi, wakamwambia Nabali sawasawa na maneno hayo yote kwa jina la Daudi, kisha wakanyamaza.

10 Naye Nabali akawajibu wale watumishi wa Daudi, akasema, Huyu Daudi ni nani? Na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi kuna watumwa wengi wanaomtoroka kila mtu bwana wake!

11 Basi mimi je! Nitwae mkate wangu, na maji yangu, na machinjo yangu niliyowachinjia hao watu wangu wakatao manyoya kondoo zangu, na kuwapa watu ambao siwajui wametoka wapi?

12 Basi vijana wake Daudi wakageuka, wakaenda zao, wakarudi, nao wakaja wakamwambia sawasawa na maneno hayo yote.

13 Kisha Daudi akawaambia watu wake, Haya! Jifungeni kila mtu upanga wake. Nao wakajifunga kila mtu upanga wake; Daudi naye akajifunga upanga wake; nao wakapanda nyuma yake Daudi, wapata kama watu mia nne; na watu mia mbili wakakaa na vyombo vyao.

14 Lakini kijana mmojawapo alimpasha habari Abigaili, mkewe Nabali, kasema, Tazama, Daudi alituma wajumbe kutoka nyikani waje ili kumsalimu bwana wetu, naye akawatukana.

15 Walakini watu hawa walitutendea mema sana, wala hatukupata dhara, wala sisi hatukupotewa na kitu cho chote, wakati wote tulipofuatana nao, tulipokuwako mavueni;

16 watu hao walikuwa boma kwetu usiku na mchana, wakati wote tulipokuwa nao tukiwachunga kondoo.

17 Basi sasa ujue na kufikiri utakayotenda; kwa sababu yamekusudiwa mabaya juu ya bwana wetu, na juu ya nyumba yake yote; kwa kuwa yeye ni mtu asiyefaa kabisa, hata mtu hawezi kusema naye.

18 Ndipo Abigaili akafanya haraka, akatwaa mikate mia mbili, na viriba viwili vya divai, na kondoo watano waliofanyizwa tayari, na vipimo vitano vya bisi, na vishada mia vya zabibu, na mikate ya tini mia mbili; akavipakia vitu hivi juu ya punda.

19 Akawaambia vijana wake, Haya! Tangulieni mbele yangu; angalieni, mimi nawafuata. Ila hakumwambia mumewe, Nabali.

20 Ikawa, alipokuwa amepanda punda wake, na kutelemka penye sitara ya mlima, tazama, Daudi na watu wake walikuwa wakishuka kumkabili; naye akawakuta.

21 Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu cho chote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.

22 Mungu naye awafanyie hivyo adui za Daudi, na kuzidi, nikimwachia katika wote walio wake hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

23 Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi.

24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.

25 Nakusihi, bwana wangu, wewe usimwangalie huyu mtu asiyefaa, yaani, Nabali; kwa maana kama lilivyo jina lake ndivyo alivyo yeye; jina lake ndilo Nabali, na upumbavu anao; lakini mimi, mjakazi wako, sikuwaona hao vijana wa bwana wangu aliowatuma.

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo Bwana, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa Bwana amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

27 Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.

28 Nakuomba ulisamehe kosa lake mjakazi wako, kwa kuwa hakika Bwana atamfanyia bwana wangu nyumba iliyo imara, kwa sababu bwana wangu anavipiga vita vya Bwana; tena uovu hautaonekana ndani yako siku zako zote.

29 Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na Bwana, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya teo.

30 Tena itakuwa, hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu sawasawa na mema yote aliyoyanena juu yako, na kukutawaza juu ya Israeli;

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo Bwana atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

32 Naye Daudi akamwambia Abigaili, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye amekuleta hivi leo kunilaki;

33 na ibarikiwe busara yako, na ubarikiwe wewe, uliyenizuia hivi leo nisimwage damu, wala kujilipiza kisasi kwa mkono wangu mwenyewe.

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo Bwana, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

35 Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimeukubali uso wako.

36 Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hata kulipopambazuka.

37 Ikawa asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mkewe alimwambia mambo hayo, na moyo wake ukafa ndani yake, akawa kama jiwe.

38 Tena ikawa, yapata siku kumi baadaye, Bwana alimpiga huyo Nabali, hata akafa.

39 Naye aliposikia ya kwamba Nabali amekufa, Daudi alisema, Na ahimidiwe Bwana ambaye amenitetea teto la shutumu langu mkononi mwa Nabali, na kumzuia mtumwa wake asitende maovu; tena uovu wake Nabali Bwana amemrudishia juu ya kichwa chake mwenyewe. Kisha Daudi akatuma watu, akamposa Abigaili ili amwoe.

40 Na hao watumishi wa Daudi walipomjia huyo Abigaili huko Karmeli, walimwambia, wakasema, Daudi ametutuma kwako ili tukutwae uwe mkewe.

41 Naye akainuka na kujiinamisha kifulifuli mpaka nchi, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumwa wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.

42 Abigaili akafanya haraka, akainuka, akapanda punda, pamoja na vijakazi watano wake waliofuatana naye, akawafuata hao wajumbe wa Daudi, akawa mkewe.

43 Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wakawa wote wawili wakeze.

44 Walakini Sauli alikuwa amempa Palti, mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu wa Galimu, Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi.

Kwa leo tuishia hapa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Bunju, Dar es salaam
aisee!! umetisha m2mishi,ni kweli wanawake wenye sura nzuri na makalio makubwa ni shida sana!!!!!!!,lakini wakizeeka wanageuka kuwa kigodoro cha masela!!!!
 
Abigael na daudi walikula njama ya kumuua nabali... kwa makubaliano ya daudi kutowazudhulu watoto na Mali ikiwemo mifugo maana daudi aliapa kuteketeza kila kilicho cha nabali, ndo maana baada ya nabali kufa kwa sumu DAUDI alimposa Abigaeli
HIKI NI KISA CHA KISASI, USALITI, MAUAJI NA UZINZI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom