Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,182
Gazeti la Jambo Leo la leo lina kichwa cha habari kisemacho.........."Mkapa, Bomani na Prof. Shivji wasiwe mawakala wa Slaa"
Swali la kujiuliza hapa ni hivi harakati za kutaka katiba mpya zamilikiwa na Dr. Slaa au na raia wote hata kuwafanya wale ambao wanashauri mchakato wa katiba mpya una masilahi makubwa kitaifa sasa kuvikwa joho ni mawakala wa Dr. Slaa?
Swali la kujiuliza hapa ni hivi harakati za kutaka katiba mpya zamilikiwa na Dr. Slaa au na raia wote hata kuwafanya wale ambao wanashauri mchakato wa katiba mpya una masilahi makubwa kitaifa sasa kuvikwa joho ni mawakala wa Dr. Slaa?